Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

Mdee alisema jana kwenye press watakata rufaa kupinga CC ya Chadema kuwafukuza uanachama,kwa manti hiyo tayari wametambua kufukuzwa kwao ktk chama,kwa maana hiyo inamaanisha yakuwa wao kwa sasa SIO WANACHAMA WA CHADEMA hadi hapo rufaa yao itakapo sikilizwa.Swali langu hapo ndio linapokuja je ni kwa nini sasa Ndugai anapata kigugumizi cha kutimiza matakwa ya(sheria) kikatiba?

20201202_084037.jpg
 
Mdee alisema jana kwenye press watakata rufaa kupinga CC ya Chadema kuwafukuza uanachama,kwa manti hiyo tayari wametambua kufukuzwa kwao ktk chama,kwa maana hiyo inamaanisha yakuwa wao kwa sasa SIO WANACHAMA WA CHADEMA hadi hapo rufaa yao itakapo kubaliwa/kataliwa.Swali langu hapo ndio linapokuja je ni kwa nini sasa Ndugai anapata kigugumizi cha kutimiza matakwa ya(sheria) kikatiba?
Hospitali ya Milembe ilijengwa Dodoma si kwamba Nyerere hakuwa na akili.
 
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya CHADEMA na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
From 2015 kuna viongoz na wasomi wengi wanabehave kama matahira, no reasoning kabisa. Sijajua ni hiari yao au la.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Yule mbunge wa Nkasi mmemgwaya kwa sababu nae ameapa ila mara zote wala hamumzungumzii, kwisha habari yenu kifo Cha Mendeeeeeee
Nadhani hujasikiliza kamati kuu ya CHADEMA ilichosema. Walisema haya mambo mawili yote yatashughulikiwa lakini kwa namna tofauti. Walieleza kwamba wameanza na hili la hawa 19 kutokana na umuhimu wake. Hilo la Aida linakuja, akae mkao wa kuitwa, na huyu asiwafuate wenzake waliogomea wito, yeye lake ni jepesi anaweza hata akaendelea na ubunge kama ataonesha nidhamu kwenye kamati kuu ya CHADEMA.
 
Jibu la 2010, 2015 kwamba kwanini walienda bungeni? Linajibika kirahisi kwamba documents ngazi zote zilikuwa wazi hata ziliweza kutumika mahakamani kupinga uchaguzi, Sasa 2020 wanalamika hawakupewa documents zozote kuanzia ngazi ya kata.
Mantiki yako si sahihi. Jibu la 2010, 2015 mbona tulishiriki bungeni lilikuja baada ya waandishi kutaka kujua; Chadema ina mpango wa kushiriki bungeni 2020 pamoja na kutoutambua ushindi wa CCM? na kushiriki si kuhalalisha ushindi huo?
 
Hili suala ni rahisi kama hivi.

1. Uchaguzi umefanya kwa magumashi sana. CCM wamevuruga uchaguzi sana. Wameiba kura sana.

2. Mbunge yeyote anayekubali kuapishwa kwenda bungeni, anakubaliana na wizi huu na ubakaji wa demokrasia uliotokea.

3. CHADEMA kama chama wamelalamikia ubakaji huu wa demokrasia.

4. Mbunge yeyote anayekubali kuapishwa na kuwa mbunge anapuuza malalamiko ya upinzani kuhusu ubakwaji wa demokrasia, na anaweka maslahi yake na ya kikundi chake juu ya maslahi ya nchi.

5. Wabunge 20 wa CHADEMA waliokubali kuapishwa wamejiunga katika kundi la watu walio saliti demokrasia kwa kuangalia point ya 4 hapo juu.
Kwenda kule kwani malalamiko haya yameanza leo..mbona tangu 1995.. mbona wamekuwa wanaenda bungeni..why and why not now
 
Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
Ndugai ni umbwa kama umbwa zingine!!
 
Uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA waliupinga, hata bungeni Magufuli alipoenda kuhutubia walitoka nje, mbona hawakususia bunge? Naomba jibu tafadhali
Two wrongs do not make a right.

Kama walikosea awali, hiyo ni sababu zaidi ya kutokosea tena, si sababu ya kuhalalisha kukosea tena.

Hutakiwi kusema ni sawasawa Wanyarwanda wauane kwa mauaji ya kimbari leo, kwa sababu walishauana kwa mauaji ya kimbari mwaka 1994.
 
Kwenda kule kwani malalamiko haya yameanza leo..mbona tangu 1995.. mbona wamekuwa wanaenda bungeni..why and why not now
Two wrongs do not make a right.

If you insist otherwise, you have faulty logic.
 
Yaani wanachama wa Chadema walipanga wawapige mawe na mayai viza hao wamama, huku wametoka kulalamika uchaguzi haukua wa haki, Kwanini hawakuwapiga mawe na mayai viza wapinzani wao? Kwanini hawakutoka kuandamana? Wanawaonea wakina Halima, wanaonea wanawake,

Shame on you!
 
Siasa mchezo mchafu sana tena wakuchefua 😡😡
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    77.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom