infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,098
- 2,150
Hata wakulima wa korosho na mbaazi wanaijua vizuri serikali ya Rais MagufuliUkitaka kujua watu wanasemaje kuhusu hii serikali ambayo imefanya tuwe donor country nenda kawaulize wastaafu watakupa majibu sahihi.
Ila wkt unawauliza hayo uwe umekaa distance ya 10m,usiniulize kwanini.
Sent using Jamii Forums mobile app