Halima Mdee: Imekuwa utamaduni wa Serikali kufukuza wamachinga

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema imekuwa utamaduni wa Serikali kuwafukuza Wamachinga kwenye maeneo yao ya biashara na kuwapeleka pembezoni, na maeneo ambayo sio wezeshi kufanya Biashara.

Amesema, "Kuthibitisha Serikali haijali kundi hili la Wafanyabiashara wadogo hata kwenye Mpango ambao Waziri umesoma jana hakuna maeneo ambayo yanazumgumza tutawapanga vipi"

Akimjibu, Waziri wa Fedha amesema Mpango huo ni suala la Sekta ambao utafanywa na Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa, Mpango bado unaendelea kuchambuliwa.

Chanzo: BUNGE
 
Chama cha Chapinduzi kina utaratibu wa kuupdate ILANI yake kila mwaka..! Mwaka huu Mjadala utawashirikisha JF kwa njia ya kuchangia na kuorodhesha LAANA ambazo mwanadamu ANAZANI ambazo hazipatiwi majibu kila mwaka ili CCM izipatie MAJIBU na kuweka kama kipaumbele kwenye ILANI (KISWAHILI LANI (iLANI))... Andika chochote utajua tu kuwa NCHI YA TANZANIA IMEPATA MAENDELEO KWA ASILIMIA 89 kilichobaki ni KULANI TU ili ILANI IWE NA NGUVU..

Mie kama mdau

1. Laana ya watu kuuziwa VITUNGUU/NYANYA/KAROTI/TIKITI/TANGO ZILIZOOZA

2. Laana ya watu kutotembea nchi nzima kujua mema ya nchi hii (kama barabara, meli n.k)

3. Laana ya WaTANZANIA kutokujua UJAMAA NA KUJITEGEMEA

4. Laana ya kushindana kuelewa HAMNA

5.Laana ya KUSOMA BILA KUTUMIA ELIMU YAKO KUISHI KIVYAKO VYAKO NA UZIO MKALI (KAMA NI NYUMBA KWELI UZIO WA JELA)

6.

PUNCH
 

Attachments

  • Uj5GGBldZSb_O1.mp4
    2.5 MB
Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema imekuwa utamaduni wa Serikali kuwafukuza Wamachinga kwenye maeneo yao ya biashara na kuwapeleka pembezoni, na maeneo ambayo sio wezeshi kufanya Biashara.

Amesema, "Kuthibitisha Serikali haijali kundi hili la Wafanyabiashara wadogo hata kwenye Mpango ambao Waziri umesoma jana hakuna maeneo
You cannot please all the people all the time.
Ili kuweka mji safi wamachinga waondoshwe na waende sehemu walopangiwa.
Na ikiwa wamachinga wote wataondoshwa bila ya ubaguzi au upemdeleo na kupelekwa sehemu hakuatakuwa na kelele.

Lakini serikali haiwi madhubuti katika hili. huwa inawoga au inajaribu. Na haiwi wakuendeleza hizi sharia.
Kila kitu kinataka mda. watu wakisha zowea hiyo sehemu mpya biashara zita kuja juu wenyewe.

Serikali iwe kali na ismunee mtu huruma .
 
Maamuzi mengine wanadamu tunafanya kwa kweli yanasikitisha, yanakuondolea confo yoote unaishi kwa kusutwa sutwa na nafsi yako kila kukicha.
 
Mbunge haramu anapojadili vitu vya taifa.. Je, ana'legitimacy hiyo?
 
Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema imekuwa utamaduni wa Serikali kuwafukuza Wamachinga kwenye maeneo yao ya biashara na kuwapeleka pembezoni, na maeneo ambayo sio wezeshi kufanya Biashara.

Amesema, "Kuthibitisha Serikali haijali kundi hili la Wafanyabiashara wadogo hata kwenye Mpango ambao Waziri umesoma jana hakuna maeneo ambayo yanazumgumza tutawapanga vipi"

Akimjibu, Waziri wa Fedha amesema Mpango huo ni suala la Sekta ambao utafanywa na Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa, Mpango bado unaendelea kuchambuliwa.

Chanzo: BUNGE
mtu ambaye hana chama ameingiaje bungeni. hii serikali haisikii lolote ndo hata yeye yupo bungeni.
 
Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee amesema imekuwa utamaduni wa Serikali kuwafukuza Wamachinga kwenye maeneo yao ya biashara na kuwapeleka pembezoni, na maeneo ambayo sio wezeshi kufanya Biashara.

Amesema, "Kuthibitisha Serikali haijali kundi hili la Wafanyabiashara wadogo hata kwenye Mpango ambao Waziri umesoma jana hakuna maeneo ambayo yanazumgumza tutawapanga vipi"

Akimjibu, Waziri wa Fedha amesema Mpango huo ni suala la Sekta ambao utafanywa na Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa, Mpango bado unaendelea kuchambuliwa.

Chanzo: BUNGE
Mbunge Wa VITI MAALAMU wa CHAMA GANI.?
 
You cannot please all the people all the time.
Ili kuweka mji safi wamachinga waondoshwe na waende sehemu walopangiwa.
Na ikiwa wamachinga wote wataondoshwa bila ya ubaguzi au upemdeleo na kupelekwa sehemu hakuatakuwa na kelele.

Lakini serikali haiwi madhubuti katika hili. huwa inawoga au inajaribu. Na haiwi wakuendeleza hizi sharia.
Kila kitu kinataka mda. watu wakisha zowea hiyo sehemu mpya biashara zita kuja juu wenyewe.

Serikali iwe kali na ismunee mtu huruma .
Nakubaliana na wewe. Hili ni suala la kikanuni. Hakuna haja ya kubembeleza katika hili otherwise itakuwa serikali inapangiwa ifanye nini which is very wrong. Kwa sas ukipita baadhi ya mitaa wamerudi utadhani ilikuwa nguvu ya soda. La msingi wapewe sehemu rasmi zilizotayarishwa ili tuondokane na hili once and for all
 
Back
Top Bottom