Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Sasa umemkatia rufaa au una lalama tu hapa dada yetu? Angalia hata jina amekosea Askofu sio jna lake. Hicho ni cheo.Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
Kwani Gwajima anagombea Urais ?Si kweli mkuu, ratiba ni kuwa fomu za uraisi zirejeshwe tarehe 25, Aug
Uko sahihi mkuu nadhani bado nina usingizi na huyu TAL ametuchanganya huku Lumumba. Ila zinahakikiwa siku ya kurejesha fomu mbele ya msimamizi wa uchaguzi au msimamizi msaidiziKwani Gwajima anagombea Urais ?
Kama hawawezi kukubali je sheria hiyo ilitungwa kwa ajili ya nani hasa?Nyie mnaota! ccm haiwezi kukubali pingamizi lolote lipitishwe na tume kwa mgombea wao hata kama pingamizi hilo lina mashiko.
Halima anasumbuka you.Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA! HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.
Siku ya kujaza Mdee alikuwepo kwenye ofisi mpaka inafungwa.Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Kajifunze Kiswahili kwanza halafu uje u comment hapa. Hivi "frani" "dila" "mazala" ni maneno ya kabila gani?Tatizo sheria huwa tunatunga kwa ajili ya watu frani ila zikijà kwetu tunaanaza kelele
Bungeni ni sehemu takatifu ambapo ndio dila ya taifa haya ndio mazala ya kila kitu ndio
Ni kosa kisheria kutokuhakiki fomu ndani ya ofisi za tume tena inahakikiwa siku ya uteuzi ambayo kisheria ilikuwa tarehe 25. Sasa yeye kwenye fomu ameandika kuwa ilihakikiwa tarehe 24. Halafu kwenye fomu kaweka jina "ASKOFU" wakati kwenye cheti cha kuzaliwa halipo. Yeye anaambiwa ajaze majina matatu yeye anaweka manne. Yani tukifuata haki wana CCM zaidi ya asilimia 60 wamejaza upuuzi kwenye fomu zao.Kwani Gwajima anagombea Urais ?
Kajifunze Kiswahili kwanza halafu uje u comment hapa. Hivi "frani" "dila" "mazala" ni maneno ya kabila gani?
Umejuaje kama hajapeleka pingamizi kwa NEC? kuwa Mataga siyo justification ya kuwa mpumbavuDaah Ni aibu kubwa Sana kwa Mwanasiasa Nguli Kama Halima kuja kuleta Tatizo la kifundi Kama hili huku mitandaoni badala ya kwenda kuweka pingamizi kwa NEC Kama alivyofanya John mrema kwa Bonna.
Yani muda wa mapingamizi umeisha ndo unasema Hana sifa Ukiwa Kama tume ya uteuzi ama Ukiwa Kama halima mdee.
Unachokitafta kwa huyo gwaji boy soon utakipata Naona unamchokonoa afungue Domo lake,, Kuna yule alikuwa RC wa Dsm aligalagazwa mdomoni vibaya mnoo na huyo gwaji hivyo kuwa makini Sana na huyo jamaa.
Uthibitisho nitarehe inayoonekana kwenye form imejazwa tarehe20/08/2020 na form ilipaswa ijazwe tarehe25/08/2020,,Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Nikusaidie Bibie, aliyejaza neno Askofu siyo Halima bali ni huyo tapeliSasa umemkatia rufaa au una lalama tu hapa dada yetu? Angalia hata jina amekosea Askofu sio jna lake. Hicho ni cheo.
Yesu hakuja kuwa mshirika wa wanaotenda dhambi.Basi humjui Yesu kiundani, mission yake alikuja kwa ajili ya watenda dhambi, mzima haitaji tabibu mkuu.