Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Gwajima alijaza fomu ya maadili nyumbani kwake badala ya kuja mbele ya msimamizi wa uchaguzi hivyo hana sifa ya kugombea

Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

Sasa umemkatia rufaa au una lalama tu hapa dada yetu? Angalia hata jina amekosea Askofu sio jna lake. Hicho ni cheo.
 
Nyie mnaota! ccm haiwezi kukubali pingamizi lolote lipitishwe na tume kwa mgombea wao hata kama pingamizi hilo lina mashiko.
Kama hawawezi kukubali je sheria hiyo ilitungwa kwa ajili ya nani hasa?
 
Kanuni ya 26(3) ya Kanuni za Uchaguzi zinataka Fomu ya KUTEKELEZA MAADILI kujazwa mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi. Ndugu yangu wa CCM KAWE alijaza tarehe 20/8/2020 NYUMBANI kwake. Na BADO MSIMAMIZI wa UCHAGUZI Kinondoni AKAMTEUA!⁩ HUYU Mgombea HANA SIFA-Halima Mdee on twitter.

Halima anasumbuka you.
Hii tumme ni ya Memo.
Wore ni wakaanga sumu
 
Mzee wa kufuta Madrassa na misikiti na kuigeuza Sunday school 🏫
 
Na Ile video yake kule U porn na Free X video anapiga mauno bado tu ameruhusiwa kugombea?
 
Tatizo sheria huwa tunatunga kwa ajili ya watu frani ila zikijà kwetu tunaanaza kelele
Bungeni ni sehemu takatifu ambapo ndio dila ya taifa haya ndio mazala ya kila kitu ndio
Kajifunze Kiswahili kwanza halafu uje u comment hapa. Hivi "frani" "dila" "mazala" ni maneno ya kabila gani?
 
Kwani Gwajima anagombea Urais ?
Ni kosa kisheria kutokuhakiki fomu ndani ya ofisi za tume tena inahakikiwa siku ya uteuzi ambayo kisheria ilikuwa tarehe 25. Sasa yeye kwenye fomu ameandika kuwa ilihakikiwa tarehe 24. Halafu kwenye fomu kaweka jina "ASKOFU" wakati kwenye cheti cha kuzaliwa halipo. Yeye anaambiwa ajaze majina matatu yeye anaweka manne. Yani tukifuata haki wana CCM zaidi ya asilimia 60 wamejaza upuuzi kwenye fomu zao.
 
Masikini Halima, huyu dada nampenda sana ila kusema kweli anakabiliwa na ushindani mkubwa sana safari hii, 'I hope' wapiga kura watamrudisha mjengoni tuone tena kashkash zake.
 
Daah Ni aibu kubwa Sana kwa Mwanasiasa Nguli Kama Halima kuja kuleta Tatizo la kifundi Kama hili huku mitandaoni badala ya kwenda kuweka pingamizi kwa NEC Kama alivyofanya John mrema kwa Bonna.

Yani muda wa mapingamizi umeisha ndo unasema Hana sifa Ukiwa Kama tume ya uteuzi ama Ukiwa Kama halima mdee.

Unachokitafta kwa huyo gwaji boy soon utakipata Naona unamchokonoa afungue Domo lake,, Kuna yule alikuwa RC wa Dsm aligalagazwa mdomoni vibaya mnoo na huyo gwaji hivyo kuwa makini Sana na huyo jamaa.
Umejuaje kama hajapeleka pingamizi kwa NEC? kuwa Mataga siyo justification ya kuwa mpumbavu
 
Sasa atathibitisha vipi aliijaza nyumbani ?Na kama aliijaza akiwa kwa msimamizi wa uchaguzi tarehe hiyo ?Halima Mdee hapa kachemsha.
Uthibitisho nitarehe inayoonekana kwenye form imejazwa tarehe20/08/2020 na form ilipaswa ijazwe tarehe25/08/2020,,
 
Basi humjui Yesu kiundani, mission yake alikuja kwa ajili ya watenda dhambi, mzima haitaji tabibu mkuu.
Yesu hakuja kuwa mshirika wa wanaotenda dhambi.
Hakuja kuwasaidia watenda dhambi katika utendaji wao wa dhambi.
Yesu alikuja kuwaokoa watenda dhambi.
 
Back
Top Bottom