Halima HoyeeeMabibi na mabwana na hasa wale walio wazalendo. Ni ukweli ulio wazi kuwa maji yakishamwagika huwa hayazoleki. Hata hivyo tunaweza kuganga yajayo.
Ni ukweli usiopingika kuwa, Bi. Halima ni mmoja kati ya makamanda shupavu kabisa walioipigania CDM kwa uaminifu mkubwa, licha ya kupitia katika changamoto nyingi.
Wandugu, kujikwaa si kuanguka na kosa moja halifukuzishi mke!
Siyo siri kuwa, tukio hili lililopelekea mtafaruku huu, limetusikitisha na kutusononesha mno. Kwa hakika itakuwa vyema sana kama tutashirikiana sote kulimaliza suala hili kistaarabu kwa mustakabala mwema wa chama chetu.
Ni furaha iliyo je mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu?
Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia.
"Hapa pana namna ambayo suala hili Bi. Halima, litakwisha na adui yetu akatepeta na kulegea vilivyo:
1.Ombeni radhi kwa dhati kabisa mkijutia yote yaliyotokea.
2. Wekeni wazi bila kuficha kama ni Hadaa, ghiliba, ahadi, vitisho, nk na mkiwaweka wazi wote waliohusika na sarakasi hii. Koleo na likaitwe kwa jina lake.
3. Tuunganeni sote kumshambulia na kumwaibisha mbaya wetu.
4. Mengine kama yatakavyo shauriwa na waungwana wengine."
Sote tu wakosaji, shuruti tuwe tayari kusamehe 7x70.
Hayupo aliyepanga kukufukuzeni. Chonde chonde uamuzi wa kutofika huko mnao pia mikononi mwenu.
Ashindwe mbaya wetu na washirika wake wote.
Washindwe na walegee!
TindoYoyote aliyeungana na shetani ni kumpiga chini watajuana wenyewe. Ni marufuku kuungana na shetani.
Uu uzi umemgusa Halima na wenzie,na kwasasa Halima ni Dada wa taifa.Mmekurupuka mashimoni?
Huu uzi hauwafai.
Ikumbukwe kuwa hayupo awaye yote anayeombwa kubakia CDM.
Pia uzi umezingatia itifaki vilivyo katika sentensi ya kwanza kabisa:
"Mabibi na mabwana na hasa wale walio wazalendo."
Wewe na wenzako wachumia tumbo mboga mboga - you're not included!
Furthermore:
View attachment 1635332
Huu ujinga anawafundisha nani? Miaka yote mmekuwa mnatoka kwenye vikao bungeni, bunge lilikufa? Hata mkiwavua ubunge hao mademu zenu bunge litaendelea mbaki na kelele ya haramu ya uchaguzi hadi miaka mitano itapoisha.Ubunge hawawezi kuendelea nao:
"Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia."
Ubunge huu unatokana na haramu ya uchaguzi 2020. Huu hauwezi kuwa halali.
Hayo ni yako ty. W2nye chama wana yao na Halima ananyakeUbunge hawawezi kuendelea nao:
"Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia."
Ubunge huu unatokana na haramu ya uchaguzi 2020. Huu hauwezi kuwa halali.
Halima Hoyeee
Tindo
Unadhani hawa wanasiasa wetu bila hivi vyeo vyao wanajikimu vipi?
Eti Halima karogea..atakauwa karogwa kwa pesa labdamie nahisi ma ccm yatakuwa yamemloga kamanda mdee sio bure, ktk wanawake huyu ndiye alikuwa kamanda kwelikweli (kivitendo)...anafuatiwa kwa mbali na mama wa morogoro jina nani sijui alikuwa mbunge wa mlimba
Hayo ni mambo yako hata hujaongea na wenye chama.Chadema haijawahi kuwa na nafasi kwa wasaliti wapuuzi , ccm inazo nafasi nyingi za uongozi , waache waende wakale bata , nafasi zao chadema zimekwishajazwa .
Ruzuku ndo ilikuwa inampa ujasiri. Kukosa jimbo kumemfanya awe zaidi ya nyumbu.mie nahisi ma ccm yatakuwa yamemloga kamanda mdee sio bure, ktk wanawake huyu ndiye alikuwa kamanda kwelikweli (kivitendo)...anafuatiwa kwa mbali na mama wa morogoro jina nani sijui alikuwa mbunge wa mlimba
Nani sasa afanye hivyo?
Kuna neno la kiingereza "Blackmail".Nahisi kuna watu wamekuwa "blackmailed".Si kwa hofu walizokuwa nazo usoni na hata ukaaji kama vile wana p,totally restless.Mabibi na mabwana na hasa wale walio wazalendo. Ni ukweli ulio wazi kuwa maji yakishamwagika huwa hayazoleki. Hata hivyo tunaweza kuganga yajayo.
Ni ukweli usiopingika kuwa, Bi. Halima ni mmoja kati ya makamanda shupavu kabisa walioipigania CDM kwa uaminifu mkubwa, licha ya kupitia katika changamoto nyingi.
Wandugu, kujikwaa si kuanguka na kosa moja halifukuzishi mke!
Siyo siri kuwa, tukio hili lililopelekea mtafaruku huu, limetusikitisha na kutusononesha mno. Kwa hakika itakuwa vyema sana kama tutashirikiana sote kulimaliza suala hili kistaarabu kwa mustakabala mwema wa chama chetu.
Ni furaha iliyo je mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu?
Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia.
"Hapa pana namna ambayo suala hili Bi. Halima, litakwisha na adui yetu akatepeta na kulegea vilivyo:
1.Ombeni radhi kwa dhati kabisa mkijutia yote yaliyotokea.
2. Wekeni wazi bila kuficha kama ni Hadaa, ghiliba, ahadi, vitisho, nk na mkiwaweka wazi wote waliohusika na sarakasi hii. Koleo na likaitwe kwa jina lake.
3. Tuunganeni sote kumshambulia na kumwaibisha mbaya wetu.
4. Mengine kama yatakavyo shauriwa na waungwana wengine."
Sote tu wakosaji, shuruti tuwe tayari kusamehe 7x70.
Hayupo aliyepanga kukufukuzeni. Chonde chonde uamuzi wa kutofika huko mnao pia mikononi mwenu.
Ashindwe mbaya wetu na washirika wake wote.
Washindwe na walegee!
Kweli kabisa, ni salama kwa wapiga ruzuku tuMkuu pamoja na kuwa unasomeka hata hivyo bado kama:
1. Kauli za Prof. Kabudi kabla na hizi za baada ya kuteuliwa kuwa waziri zinatoka kwa mtu yule yule,
2. Kauli za Pole pole wa tume ya Warioba na za Pole pole huyu wa leo zinatoka kwa mtu yule yule,
3. Kauli za Dr. Bashiru Ally wa UDSM na kauli za huyu katibu mkuu wa chama mboga mboga leo ni kauli za mtu yule yule,
4. Nk, nk.
Hiyo wala si siasa tena bali hiyo ni njaa iliyopitiliza!
Ifahamike kuwa CDM unayoiona ambayo inapiganiwa na wengi ikiwamo hata kwa kujitolea tu, si salama kwa wanasiasa opportunists, labda huko mboga mboga!
Daah! CDM ni imara sawa sipingi hilo lakini kampeni sio kigezo cha uimara wa chama kama nihivyo CCM ilijaza zaidi viwanja basi sioni sababu ya CDM kulalamika kuibiwa kuraMkuu CDM ni imara kuliko unavyoweza kudhani. CDM ni people driven. Hamkujifunza hata katika kampeni? Ni watu watakaoamua hatima yao hawa kesho.
Kwamba nani kahusika? Tumewaomba wawe wazi hata kama wahusika ni Jiwe, Pole pole, bashiri, Mbowe, Mnyika nk na watajwe tu!
Tatizo liko wapi hapo hadi tuanze kupiga ramli hadi wino upo?
Oyeee.
Halima juu,,,,,juu,,,juu zaidi.
Washazoea mteremko tayari. Mfano, huyo Miss. Kawe tangu amalize shule sidhani kama amewahi kuishi nje ya siasa. Nakumbuka walikuwa kwenye kampeni ya Ukimwi- ISHI baadae siasa. Wamezoea vitu laini, mtalaumu mpaka mtachoka.Wanajikimu kwa kujiajiri, mbona sisi tumejiajiri?
Daah! CDM ni imara sawa sipingi hilo lakini kampeni sio kigezo cha uimara wa chama kama nihivyo CCM ilijaza zaidi viwanja basi sioni sababu ya CDM kulalamika kuibiwa kura