Halima Mdee asusiwa na watendaji wa serikali za mitaa

Mbunge wa jimbo la Kawe Halima Mdee juzi alifanya ziara ya kuwatembelea wapiga kura wake kuwashukuru kwa kumchangua ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero zao.


Akiwa maeneo ya Jogoo alishangazwa na kutokuwaona viongozi wa serikali za mitaa pamoja na diwani wa kata usika,


Ndipo alipojitokeza mwananchi mmoja ambaye alimwambia kuwa viongozi hao wamepewa amri ya kutokumpa ushirikiano, na atakaye kiuka amri hiyo ataondolewa kwenye nafasi yake...

Mdee alionekana kutokushtushwa na maneno hao na kuwaambia wananchi kuwa taarifa hizo anazo na kuwa amepita baadhi ya sehemu na kukutana na vitu kama hivyo, akawaambia kuwa sehemu hizo walizonyima ushirikiano ameunda kamati iliyo shirikisha wananchi wa maeneo usika ambao watakuwa wakiwasilisha kero zao kwake....


Ulipofika muda wa wananchi kueleza kero zao,alishangzwa na hofu waliyokuwa nayo wananchi ya kushindwa kuelezea kero zao zinazo wakabili kwenye maeneo yao,aliwaambia hawapaswi kuwa waoga na kuwatolea mfano wa yeye mwenyewe kuwa endepo angekuwa mwoga asinge shinda ubunge, bali ujasiri na uthubutu wake ndio uliomfikisha hapo...

Alimalizia kwa kuwaambia kama wanaogopa kutoa kero zao wana mpunguzia kazi....


Kwa kweli nimesikitishwa sana vitendo vya watendaji waserikali za mitaaa, na hii ni kampeni ya ccm ya kutaka ashindwe kutekeleza majukumu yake kwa wananchi kama alivyo sema mwenyewe Mdee.

Nilifuatilia baadhi ya hizo ziara za Mdee. niliona kwamba organisation ilikuwa na matatizo. kwanza ni kweli CCM wameamua kutotoa ushirikiano kwa CHADEMA kutokana na kitendo cha ile Parliamentary-walkout, ambayo wanaitafsiri kama kumvunjia heshima rais na mwenyekiti wa CCM. lakini pamoja na hilo, inaonekana kuna watu wa serikali za mtaa mbalimbali katika jimbo lake ambao wako tayari kushirikiana naye, wanatofautisha serikali na chama. lakini badala ya yeye kuwasiliana nao na kuweka utaratibu wa kutembelea maeneo, yeye au katibu wake wanatoa tu taarifa za kutembelea mahali. kwa maana hiyo hata wale wenyeviti wa mitaa ambao wangekuwa tayari kutoa ushirikiano, wanawaweka pembeni na kuwakatisha tamaa.

halafu nimeshuhudia katika baadhi ya maeneo, hao wanaochaguliwa kuwa ndio kamati ya kukusanya kero na kuwasiliana naye, wengine kwa kweli usingeweza kusema kwamba ni watu makini. nadhani ana very hard times ahead. itabidi ajipange vizuri. kuna mtu alishauri kwamba pengine angekuwa na program of action yake mwenyewe kutokana na ahadi zake na utafiti wake, angeanza na hiyo kwanza. pia awe mwangalifu na hizo kamati za kero, zisijekuwa ni vikundi vya walaji wengine.

mwisho namshauri asiendekeze sana jazba katika utendaji. pamoja na ujana wake, ajifunze kuwa mtulivu. ameshashinda kiti, awe conciliatory ili kupata cooperation ya wengine, kama anavyofanya obama sasa hivi kwa Republicans
 
owkey!ila suala la msingi hapa ni je hao viongozi wa serikali za mitaa kwa kufanya hivyo wanajenga au wanabomoa?kumbuka nao tunawachagua wananchi ili watuwakilishe katika kutatua matatizo yetu na sio kwa manufaa yake au chama....je tutafika ndugu yangu?

Ukweli ni kuwa wanabomoa tena sana, unajua ndugu yangu,mijadala hapa imekuwa ya kishabiki mno! kiasi kuwa huwezi ukajadili swal linaloonekana ni negative.

Hawa jamaa hawawasaidii wananchi, ndugu sehemu nyingi mbona CDM ina wabunge na wanapata ushirikiano! tusipoweka platform ya kujiangalia wwapi tulikosea, hata kama kuna sababu basi ni rahisi sana kila jambo kulitibu gonjwa tu na sio symptoms na hapa ndipo tunapoji-expose hulka zetu na tabia zetu halisi. Tuko tayari kumlinda tumpendaye hata kama ana makosa.

Cha kufanya kwa Mdee sio kumpamba kwa maneno mazuri, maendeleo yanaletwa kwa ushirikiano, reconciliation is a best weapon in any barriers, she can simply do that and we can all experience her work.
 
Nilifuatilia baadhi ya hizo ziara za Mdee. niliona kwamba organisation ilikuwa na matatizo. kwanza ni kweli CCM wameamua kutotoa ushirikiano kwa CHADEMA kutokana na kitendo cha ile Parliamentary-walkout, ambayo wanaitafsiri kama kumvunjia heshima rais na mwenyekiti wa CCM. lakini pamoja na hilo, inaonekana kuna watu wa serikali za mtaa mbalimbali katika jimbo lake ambao wako tayari kushirikiana naye, wanatofautisha serikali na chama. lakini badala ya yeye kuwasiliana nao na kuweka utaratibu wa kutembelea maeneo, yeye au katibu wake wanatoa tu taarifa za kutembelea mahali. kwa maana hiyo hata wale wenyeviti wa mitaa ambao wangekuwa tayari kutoa ushirikiano, wanawaweka pembeni na kuwakatisha tamaa.

halafu nimeshuhudia katika baadhi ya maeneo, hao wanaochaguliwa kuwa ndio kamati ya kukusanya kero na kuwasiliana naye, wengine kwa kweli usingeweza kusema kwamba ni watu makini. nadhani ana very hard times ahead. itabidi ajipange vizuri. kuna mtu alishauri kwamba pengine angekuwa na program of action yake mwenyewe kutokana na ahadi zake na utafiti wake, angeanza na hiyo kwanza. pia awe mwangalifu na hizo kamati za kero, zisijekuwa ni vikundi vya walaji wengine.

mwisho namshauri asiendekeze sana jazba katika utendaji. pamoja na ujana wake, ajifunze kuwa mtulivu. ameshashinda kiti, awe conciliatory ili kupata cooperation ya wengine, kama anavyofanya obama sasa hivi kwa Republicans

Thanks for that inputs you have said it all my dear. I fully participated in campaigning for Halima, dont take me wrong I am not chadema, she is brilliant and her cmapiagn style was good. One style was to visit some selected house where we can find elders of those communities, we talked to them and they were our benchmarks in spreading good news of revolution.

Baada ya matusi, sio siri wazee wengi walihudika sana..maana litoa ya nguoni, we had another hard task of telling those elders what led her to do what she did!!!

sasa leo mijitu inaandika tu humu haijui what happening mitaani in real politics!

cheers
 
Thanks for that inputs you have said it all my dear. I fully participated in campaigning for Halima, dont take me wrong I am not chadema, she is brilliant and her cmapiagn style was good. One style was to visit some selected house where we can find elders of those communities, we talked to them and they were our benchmarks in spreading good news of revolution.

Baada ya matusi, sio siri wazee wengi walihudika sana..maana litoa ya nguoni, we had another hard task of telling those elders what led her to do what she did!!!

sasa leo mijitu inaandika tu humu haijui what happening mitaani in real politics!

cheers

Ok, nimekusoma Waberoya. Hongera sana kwa kutekeleza kwa vitendo yale unayoyaamini. tunahitaji seasoned people kama wewe, wanaoangalia kitu na kama ni koleo wanakiita kuwa ni KOLEO, siyo vinginevyo. jazba na ushabiki wa bure havitatusaidia. mimi pia sio mwanachama wa CHADEMA lakini naamini kwamba wao sasa ndio wanayo dhamana ya kupeperusha bendera ya mapambano, katika vyama vya siasa. wanatakiwa waoneshe njia. mimi niko tayari kuipinga CHADEMA pale inapokosea, kwa kuwa naamini kwamba anayekupenda kweli ni yule anayekuonesha ulipokosea. asiyekupenda ni yule anayekupongeza unapokosea. naamini hata Halima mwenyewe atakuwa anafuatilia thread hii inayomhusu kabisa, na pia uongozi wa CHADEMA utakuwa makini kufuatilia mijadala hii ili wafanye ile kitu watanzania wanahitaji. kama wasipotekeleza wajibu huo, basi itabidi kiibuke chama kingine kitakachofanya kazi hiyo. na mimi nitakuwa tayari kukiunga mkono, kama nilivyosupport NCCR wakati ule, au CUF wakati fulani, na CHADEMA hivi sasa
 
Go west go east, mdee hataona raha ya uongozi kwenye lile jimbo. She had ver nice techniques of campaigning! she did worse mistake when she allowed her mouths to speak abusive language which not proper not only for society but for herself as a woman.

A hell of a contradiction. How come they gave her their votes??
 
Hivi jamani Mdee alitukana nini na kwa sababu gani? Hatuna haja ya kuwa mashabiki ila kujua ukweli utatusaidia. Basi kama alitukana arudi kwa wazee aombe msamaha kwao kisha aendelee na majukumu mengine ya kuleta maendeleo.
 
Thanks for that inputs you have said it all my dear. I fully participated in campaigning for Halima, dont take me wrong I am not chadema, she is brilliant and her cmapiagn style was good. One style was to visit some selected house where we can find elders of those communities, we talked to them and they were our benchmarks in spreading good news of revolution.
Baada ya matusi, sio siri wazee wengi walihudika sana..maana litoa ya nguoni, we had another hard task of telling those elders what led her to do what she did!!!

sasa leo mijitu inaandika tu humu haijui what happening mitaani in real politics!

cheers

Hapo penye pink mmhhh! Inahitaji imani ya kumwezesha mtu kutembea juu ya maji, kuamini hilo unalolisema.

Any way, hapa ni barazani.
 
Mh asonge mbele, kwani wapo waliogizana hata majira ya saa saba mchana za afrika mashariki na sikio la kufa halihiitaji dawa tena. Hao ndo majira ilimo ccm, haisomi alama za nyakati wala haiambiliki tena. Mh, yeye aendelee kukusanya kero za wananchi kisha azishughulikie ipasavyo awakumbushe kuwa laiti wangelimchagulia madiwani utekelezaji wake ungelikuwa mzuri zaidi. Hivyo awaombe wamchaguliye wenyeviti wa vitongoji hapo mwakani. Tuiache ccm iendelee kulala ICu, itakaponzinduka itakuta wananchi wamekwisha jichukulia nchi yao.

Kumbe ndio maana wanaanzisha threads nyingi za Mdee!
 
Mbunge wa jimbo la Kawe Halima Mdee juzi alifanya ziara ya kuwatembelea wapiga kura wake kuwashukuru kwa kumchangua ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero zao.


Akiwa maeneo ya Jogoo alishangazwa na kutokuwaona viongozi wa serikali za mitaa pamoja na diwani wa kata usika,


Ndipo alipojitokeza mwananchi mmoja ambaye alimwambia kuwa viongozi hao wamepewa amri ya kutokumpa ushirikiano, na atakaye kiuka amri hiyo ataondolewa kwenye nafasi yake...

Mdee alionekana kutokushtushwa na maneno hao na kuwaambia wananchi kuwa taarifa hizo anazo na kuwa amepita baadhi ya sehemu na kukutana na vitu kama hivyo, akawaambia kuwa sehemu hizo walizonyima ushirikiano ameunda kamati iliyo shirikisha wananchi wa maeneo usika ambao watakuwa wakiwasilisha kero zao kwake....


Ulipofika muda wa wananchi kueleza kero zao,alishangzwa na hofu waliyokuwa nayo wananchi ya kushindwa kuelezea kero zao zinazo wakabili kwenye maeneo yao,aliwaambia hawapaswi kuwa waoga na kuwatolea mfano wa yeye mwenyewe kuwa endepo angekuwa mwoga asinge shinda ubunge, bali ujasiri na uthubutu wake ndio uliomfikisha hapo...

Alimalizia kwa kuwaambia kama wanaogopa kutoa kero zao wana mpunguzia kazi....


Kwa kweli nimesikitishwa sana vitendo vya watendaji waserikali za mitaaa, na hii ni kampeni ya ccm ya kutaka ashindwe kutekeleza majukumu yake kwa wananchi kama alivyo sema mwenyewe Mdee.

Now I am beginning to connect the dots.
 
Naona kuna mnachotafuta kwa Halima maana ndani ya siku 3 kuna thread 5 za Halima na zingine zilizojifia siku nyingi kama hii zinafufuliwa
 
Ndo maana tunamaamini ili tanzania iendelee kifikra,kijamii na hata maendeleo mengine tunahitaji ccm ikae pembeni. Watanzania wamepumzishwa kufikiri wakiamini kazi ya watendaji ni kwa ajili ya ccm tu. Ccm is a natural disaster!
 
kero za 2010 na za leo ni tofauti? Mi nadhani mkutano ungekuwa ni kwa ajili ya kuwaeleza wananchi ni yapi yaliyofanikishwa na yapi bado na kwa nini.
 
"revolution is not a dinner party" Halima we komaa na wananchi watakuelewa tu the end of the day..
 
Huyu Mbunge wetu siku hizi ametugeuka kabisa, ana ushirikiano wakaribu nawapiga kura wake... ni majuzi tu tulimuomba aje afungue ofisi ya chama, akatuambi atakuja, tumemsubiri wee mwishoe tuna tumiwa SMS ya kuwa hawezi kuja yupo Arusha anacheza netball
 
Back
Top Bottom