Vitalis Konga
Senior Member
- Sep 22, 2018
- 127
- 231
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu siku ya alhamisi ya Februari 7, 2019 ilielezwa kuwa mbunge wa Kawe (Chadema), Mh Halima Mdee alishindwa kufika kusikiliza kesi yake inayomkabili kwa kuwa anamuuguza mbunge mwenzake wa chama hicho jimbo la Bunda, Mh Ester Bulaya.
#MyTake Haya ni majukumu ya kawaida ukiwa KICHWA cha familia, ila sijajua kama ni majukumu ya kawaida kwa mfanyakazi mwenzako.
Kutohudhuria mahakamani bila sababu za msingi ni miongoni mwa mambo ambayo yanaweza kusababisha ukafutiwa dhamana kwa kukiuka masharti ya dhamana yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
#MyTake Haya ni majukumu ya kawaida ukiwa KICHWA cha familia, ila sijajua kama ni majukumu ya kawaida kwa mfanyakazi mwenzako.
Kutohudhuria mahakamani bila sababu za msingi ni miongoni mwa mambo ambayo yanaweza kusababisha ukafutiwa dhamana kwa kukiuka masharti ya dhamana yako.
Sent using Jamii Forums mobile app