kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,947
- 15,732
Bado kuna watatu waandamizi wa chadema mmoja anatoka kilimanjaro mmoja morogoro na mwingine mbeya mtaomba poo kwa buldozer!
Sijui kwanini huoni ubaya ya haya yanayoendelea Leo, ila kwa akili na uelewa wangu, kuna mtu anaakili za kitoto ndiye anayeleta haya, na anapigania zaidi uwepo wake, sasa siku jipu likiiva ndiyo akili zenu zitafunguka na itakua too late.Ajiandae pia ku tweet sana maana Sasa ni kata Mti panda Mti
Sijui kwanini huoni ubaya ya haya yanayoendelea Leo, ila kwa akili na uelewa wangu, kuna mtu anaakili za kitoto ndiye anayeleta haya, na anapigania zaidi uwepo wake, sasa siku jipu likiiva ndiyo akili zenu zitafunguka na itakua too late.
My take:
Wakati wao wanaendelea kuchukua viongozi kutoka upinzani,maamuzi yao mengine yanatupatia mamia ya wafuasi kama ambavyo leo hii baadhi ya wahanga wa bomoabomoa hapa Dodoma wanavyohoji ni nini maana ya "hapa kazi tu" kama biashara zetu wanziua huku wakidai wana mikopo benki.
Wako busy kuchukua viongozi wa upinzani huku wakitelekeza wananchi wa kawaida.
Mafanikio ya chama tawala si kuchukua viongozi kutoka upinzani bali ni kutatatua shida za wananchi kama vile maji,elimu,afya,n.k bila kusahau ahadi za wakati wa kampeni kama ile ya kutoa milioni 50 kwa kila kijiji.
Kukosa maarifa ni jambo baya sana!
Labda aitwe kuwachoma choma vidole vijana mipunga kama weweMaskini salary slip umeumia kweli, huyo Mdee naye CCM wakimwita tu ataenda mzima mzima!!
Hivi huyu mshamba na limbukeni mbona ana majina mengi sana?mtaomba poo kwa buldozer!
Ni ndani ya ccm pekee utapata washamba na malimbukeni. Wakiwa jukwaani badala ya kujenga hoja wanapiga push ups, wanatukana matusi, n.kNi ndani ya chadema tuu, utapata VIONGOZI mafisadi Number 1, mitume bandia NA wezi wa magari, wabadilisha GIA Angani NA WASAGAJI
Anasubiriwa Mtulia wa Temeke kuimaliza rasmi CUF ya Maalim Seif Dar ,amebaki huyo tuu mbunge wa Temeke akitimka huyo UKAWA tuisahau jijini Dar es Salaam. Na hivi ndugu yake kashasalimu amri hata yeye yu karibu kuingia zizini,mtulia wa Temeke ndio mbunge angalau wa CUF mwenye sauti.
Haisaidii hiyo. Wananchi wanahitaji huduma za kijamii zilizo bora.Maji, afya,usafiri, umeme, nk.Tena kwa gharama za chini (siyo nafuu)!Kutafuta kupendwa in akili za kijinga.Mkishapendana na kutazamana nyuso zenu zilivyopauka kwa dhiki ni ujinga na ushamba.Ajiandae pia ku tweet sana maana Sasa ni kata Mti panda Mti
Umeshapanic tayari mkuu au unazungumzia punga lenu la A town!!Labda aitwe kuwachoma choma vidole vijana mipunga kama wewe
Akifika niite nije nimsindikizeTaratiiibu namuona mdee akielekea ccm bila shaka 2020 atakua ameshafika.
heheheh kumbe hujui wote wanaishia na Mtulia na wote ni wa CUF ni ndugu. Kumbe unabwabwaja wakati hujui chochote,haya kawahi na wewe buku kwenu huko ufipaEmbu tulia basi uandike vizuri una haraka ya nini au unakimbilia dirishani kuwahi buku saba zenu,haya embu angalia upupu ulioandika ,mbunge wa Temeke anaitwa nani na wa kinondoni anaitwa nani? Ukipata jibu rudi kwenye bandiko lako hili la kipuuzi
Sasa kuhama kwako kunamsaidiaje mkulima ambae mazao yake yanaozea shambani kwa kukosa soko?Bado kuna watatu waandamizi wa chadema mmoja anatoka kilimanjaro mmoja morogoro na mwingine mbeya mtaomba poo kwa buldozer!
Somo kichwani kwako unaemuamini hayupo kwa ajili ya mkulima yupo kwa ajili ya tumbo jiongeze utaendelea kusuburi post za mange na mdee tu watu wanasonga!Sasa kuhama kwako kunamsaidiaje mkulima ambae mazao yake yanaozea shambani kwa kukosa soko?
Kuhama kwao kuna impact gani kwa mtumishi alieongezewa mshahara kwa shilingi 6000?
Acheni kuwa wajinga na wapuuzi!!