Ongea vitu vya maana umeshakuwa mtu mzima sasa!
mdee ndio nani?
Labda waliamua kulificha ili wajue kuwa ni mwenzao hakuna sababu yoyote itakayotolewa itakayokuwa na mantiki. Kuna Dr mmoja mwenyeji wa tabora ana majina matatu ya kijadi na watoto wake amewaita ya mfano kama "mbegu" "kasanda" na mengineyo yasiyohusiana na dini yake japo yeye ni mwislam safi lakini ameangalia mazingira yaliyopo zaidi kwani ni rahisi sana kumlima kwenye list ya wanaokuwa selected kuendelea na masomo yajuu na maswala mengine ikiwa angetumia majina ya Mohamed au Rahma!wapi ulimjulia? wakati nyaraka zote Jina hILO noo. sababu hasa ya kufchwa jina hili nini?
Dada mmoja mmiliki wa mashine za kusaga nafaka hapa mjini na Dodoma.
mbunge machachari wa CDM ambae hivi karibuni ataondoka mjengoni
sasa wakazi gani hapa katika mjadala hali wanasema hairusu name calling?
Sokomoko said:Labda waliamua kulificha ili wajue kuwa ni mwenzao hakuna sababu yoyote itakayotolewa itakayokuwa na mantiki. Kuna Dr mmoja mwenyeji wa tabora ana majina matatu ya kijadi na watoto wake amewaita ya mfano kama "mbegu" "kasanda" na mengineyo yasiyohusiana na dini yake japo yeye ni mwislam safi lakini ameangalia mazingira yaliyopo zaidi kwani ni rahisi sana kumlima kwenye list ya wanaokuwa selected kuendelea na masomo yajuu na maswala mengine ikiwa angetumia majina ya Mohamed au Rahma!
mimi na matusi paka na panya
wataka kula bila kuliwa hiyo haiwezekan,lazima uliwe kidogo ili ule from jk!mimi na matusi paka na panya
Hiyo name calling utakuwa umeielewa vibaya, maana ya name calling ni kama mimi najua Romance kwenye maisha ya kawaida anaitwa John Shibuda, halafu kwenye post yako naanza kukuita Shibuda wakati hapa kwenye jukwaa unatumia jina la Romance.