Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
tena ccm mwaka huu watakoma kwan walizoea kupigiana makofi na kusinziasinzia, sasa watajuta kwan mbunge mmoja wa chadema sawa na wabunge wa ccm 15 wa kuchaguliwa au 20 wa kuteuliwa,lakin 30 wa aina ya kaptein Kombo na wossira.