ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,405
- 49,052
Kwa hili natoa kongole nyingi kwa Halima Mdee..
Ni aibu Nchi imejaa Migogoro ya Ardhi na Ujenzi holela harafu Tume ya Ardhi inatengewa pesa kiduchu na Wanasiasa wanatengeana mabilioni ya posho kwenye Wizara hiyo hiyo..
Huyu Waziri wa hii Wizara hatoshi..
===
Hali Mdee akichangia hoja bungeni amesema:
"Migogoro ya ardhi nchi hii Mawaziri na watendaji wa serikali kwenu nyie mnaitumia kama dili la kuzunguka kufanya ziara. Hamna dhamira hata kidogo ya kuhakikisha kuna mipango mizuri ya matumizi bora ya ardhi ili kuhakikisha tunaondokana na migogoro ya ardhi
Leo kamati inatuambia Bilioni 47 ni ya posho na uratibu na kuzurura zurura huko halafu Tume ya mipango ya matumizi bora ya ardhi wanapewa chini ya bilioni 10. This is nonsense, this is lack of seriousness.- Halima Mdee, Bungeni Dodoma.
My Take
Serikali Undeni Wakala wa Mipango Miji na Land administration Tanzania au badilisheni Muundo na majukumu ya tume ya Ardhi Ili ndio washughulike na issues za Ardhi..
Mbona Tarura,Ruwasa nk mumeunda ,huku kwenye Ardhi Kuna kigugumizi gani?
Ni aibu Nchi imejaa Migogoro ya Ardhi na Ujenzi holela harafu Tume ya Ardhi inatengewa pesa kiduchu na Wanasiasa wanatengeana mabilioni ya posho kwenye Wizara hiyo hiyo..
Huyu Waziri wa hii Wizara hatoshi..
===
Hali Mdee akichangia hoja bungeni amesema:
"Migogoro ya ardhi nchi hii Mawaziri na watendaji wa serikali kwenu nyie mnaitumia kama dili la kuzunguka kufanya ziara. Hamna dhamira hata kidogo ya kuhakikisha kuna mipango mizuri ya matumizi bora ya ardhi ili kuhakikisha tunaondokana na migogoro ya ardhi
Leo kamati inatuambia Bilioni 47 ni ya posho na uratibu na kuzurura zurura huko halafu Tume ya mipango ya matumizi bora ya ardhi wanapewa chini ya bilioni 10. This is nonsense, this is lack of seriousness.- Halima Mdee, Bungeni Dodoma.
My Take
Serikali Undeni Wakala wa Mipango Miji na Land administration Tanzania au badilisheni Muundo na majukumu ya tume ya Ardhi Ili ndio washughulike na issues za Ardhi..
Mbona Tarura,Ruwasa nk mumeunda ,huku kwenye Ardhi Kuna kigugumizi gani?