coyyote
Member
- Aug 12, 2018
- 53
- 87
Sisi mashabiki wa izi timu mbili maisha yamekuwa ya ovyoovyo sana kwa sasa, sijui team zetu zinakosea wapi.
wengine mpaka tunatamani kuomba ruhusa kazini baada ya matokeo mabovu ya tim zetu kwa kuhofia utani na majungu uko makazini
Kwa upande wa man U najua walikosea kwenye usajili, walirekebisha eneo la ulinzi lakini wakaacha wachezaji muhimu wa kati na mbele kuondoka bila kuleta mbadala i.e lukaku na Herrera
Kwa upande wa Yanga ndio bado nang'amua ni nini tatizo mpaka kuanza msimu vibaya ivi
Wadau wanaopitia hali kama yangu ebu mwagika apa, Tim zetu zinakosea wapi
wengine mpaka tunatamani kuomba ruhusa kazini baada ya matokeo mabovu ya tim zetu kwa kuhofia utani na majungu uko makazini
Kwa upande wa man U najua walikosea kwenye usajili, walirekebisha eneo la ulinzi lakini wakaacha wachezaji muhimu wa kati na mbele kuondoka bila kuleta mbadala i.e lukaku na Herrera
Kwa upande wa Yanga ndio bado nang'amua ni nini tatizo mpaka kuanza msimu vibaya ivi
Wadau wanaopitia hali kama yangu ebu mwagika apa, Tim zetu zinakosea wapi