DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,563
- 5,955
Achana na mivyama dgHapana mkuu mi ni muuza maziwa hapa Sokoni tengeru....karibu sana
Achana na mivyama dgHapana mkuu mi ni muuza maziwa hapa Sokoni tengeru....karibu sana
Ukilaza wako unakuwasha huko kichwani, unachokitafuta hapo Ar hukipati ng'o, nimeshaujua mchezo wako!!Unasumbuliwa na ufisadi syndrome....Lowasa kawaambukiza
Kwani ni lazima ushabikie vyama? Fuata sera nzur usiendeshwe km ng'ombeLabda tubadili katiba chief...kwa katiba hii kua na chama haiepukiki
Hahahahah
Buku2 siyo? Huo mchezo hutauweza!Mkuu nilichokua ninachokitafuta nimeshakipata.....kwani walimu wanalipwa madeni yao na huduma zinaboreka.
Angejimilikisha vitalu vyote vya gesi yeye na RostamMkuu hebu imagine Lowassa ndiye angekua rais leo.
...sasa kama mtu anajiita kinena unatarajia atakuwa na hoja ipi ya maana zaidi ya upashkunaUmeandika kipashkuna sana...
Tuma salamu kwa watu watatu.Jana 23 Desemba 2016 kikao cha kamati ya fedha uongozi na mipango halmashauri ya Arusha DC kiliishia njiani baada ya mkurugenzi wa halmashauri hiyo Dk Wilson Mahela kulazimika kutoka nje ya kikao na wataalam wote baada ya mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri hiyo kwa tiketi ya Chadema kuibua hoja ya posho zilizokatwa kuwa zilipwe hapohapo. Posho hizo zilifutwa baada ya kugundulika zipo kinyume na utaratibu. Hali hiyo imekuja baada ya Halmashauri hiyo kupokea shs bilioni 1 na milioni 500 kama sehemu ya Fidia ya ardhi ambazo zinawachanganya madiwani hao wakitaka wazifaidi badala ya maslahi ya wananchi. Baada ya vurugu na kejeli ya madiwani hao dhidi ya mkurugenzi huyo ndipo alipoamua kuwaachia ukumbi ili watoe matusi yao wakiwa wenyewe. Madiwani hao wengi wao wakiwa ni CHADEMA waliingia na matarajio makubwa ya kujipatia kipato binafsi lakini kutokana na aina ya wateule wa rais waliopo ndoto zao hizo zimeyeyuka hivyo wanaamua kuanzisha migogoro isyo na maana ambapo wamemuandikia tuhuma 21 mkurugenzi huyo na kuziwaslilsha ofisi ya rais utumishi bila kuzipitishia mkoani kwa kuogopa kuwa RC Mrisho Gambo hataki majungu wala ujingaujinga. Mwezi uliopita madiwani wa Chadema wa halmashauri ya wilaya ya Meru walisababisha kikao cha kamati ya fedha kuvunjika kwa kutoa tuhuma kwa mkurugenzi mtendaji kuhusu masuala hayo hayo ya posho na kutaka kumjadili mkuu wa wilaya ambaye kiitifaki ni bosi wao. Baada ya mkurugenzi huyo kuwafafanulia kitaalam hawakumsikiliza wakavunja kikao.
MAONI
Madiwani wa Chadema waache njaa na wa tafuta kazi za halali za kuwapatia kipato .fedha za halmashauri ni za moto na ni kwa ajili ya maendeleo. Waache kuwatia tenda kuomba rushwa kwa wafanyabiashara wadogo na kuuza maeneo ya ardhi ambapo wengine waliopo jiji wamefikishwa mahakamani . KILA MTANZANIA MWENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI MAAFANYE KAZI ILI TAIFA LISONGEBELE KIMAENDELEO. SIASA ZISUBIRI 2020
Sijuwi hicho. Duu mtumishi wewe noma oficial complain za serikali kwa email? Kweli propaganda unaziweza, lakini sie tunaojuwa taratibu za kiserikali tumekuelewa.Unajua kitu kinaitwa e-mail??....ama huko chagadema mnasomea ujinga??
Mzee government inatumia emails officially....sio za domain ya yahoo au gmailSijuwi hicho. Duu mtumishi wewe noma oficial complain za serikali kwa email? Kweli propaganda unaziweza, lakini sie tunaojuwa taratibu za kiserikali tumekuelewa.
Kachukue buku 7 yako.