Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,697
- 13,080
Mkuu mpaka Jiwe mwenyewe kakiri kuwa walifanya figusi, wewe ni nani unabisha?Wasimamizi wote waliohudhuria na kufuatilia uchaguzi wameonyeshwa kuridhishwa na uchaguzi jinsi ulivyofanyika, wapiga kelele mitandaoni na wapinzani ambao ni kawaida yao Africa nzima kupinga kila matokeo, ndio wanaopinga.
Lini wapinzani walishakubali kushindwa hapa Tanzania, Kenya na nchi zote za Africa ukiacha South Africa, Ghana na Nigeria katika baadhi ya chaguzi?