Wadau,
Nawasalimu.
Wakati navuka leo asubuhi hii nimekumbana na adha ya kivuko pale ferry Kigamboni. Kwa sasa iko panton moja tu ndogo. Watu ni wengi sana kupita maelezo na kuingia kwenye panton ni kwa kutumia 'ugali'. Hali kwa kweli ni mbaya na hii ni kama mara ya tatu katika kipindi cha juma hili moja tukio la kuharibika panton kubwa linatokea. Naomba niwashirikishe kwa picha;
Nawasalimu.
Wakati navuka leo asubuhi hii nimekumbana na adha ya kivuko pale ferry Kigamboni. Kwa sasa iko panton moja tu ndogo. Watu ni wengi sana kupita maelezo na kuingia kwenye panton ni kwa kutumia 'ugali'. Hali kwa kweli ni mbaya na hii ni kama mara ya tatu katika kipindi cha juma hili moja tukio la kuharibika panton kubwa linatokea. Naomba niwashirikishe kwa picha;