Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Kuna kundi la Watanzania waliokwama Lubumbashi, DRC baada ya waasi wa nchi hiyo kuingia mtaani.
Wanatafuta mawasiliano na ubalozi hawana wanaulizwa walienda huko kufanya nini. Baadhi ni wafanyabiashara na familia zao na wengine ni madereva na wasaidizi wao na watumishi wa kampuni za Kitanzania ambao wamejikusanya karibu na airport ya Lubumbashi kusubiri rehema za Mungu.
Naiomba serikali iwasiliane na mamlaka husika au Balozi wetu ili watanzania hawa waweze kupata hifadhi haraka. Sina pengine pa kupeleka kilio chao isipokuwa hapa JF
Wanatafuta mawasiliano na ubalozi hawana wanaulizwa walienda huko kufanya nini. Baadhi ni wafanyabiashara na familia zao na wengine ni madereva na wasaidizi wao na watumishi wa kampuni za Kitanzania ambao wamejikusanya karibu na airport ya Lubumbashi kusubiri rehema za Mungu.
Naiomba serikali iwasiliane na mamlaka husika au Balozi wetu ili watanzania hawa waweze kupata hifadhi haraka. Sina pengine pa kupeleka kilio chao isipokuwa hapa JF