🤣🤣🤣🤣Kila kukicha afadhali ya jana
kwa kweliiYa mungu mengi.
nakubaliiiChochote ninachokifanya na kukutana nacho either kitanipa matokeo chanya au hasi-basi always nahitimisha kuwa it is part of the game.
na ukipata hela???nilipokua mdogo nilidhani wakubwa ndio wanafaidi sasa nimekuwa mkubwa nimegundua sio wakubwa wanafaidi bali ni wenye hela wanafaidiii
Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha.
hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi?
kwa Upande wangu mimi hali yangu ya sasa ningetumia
MAJI UKISHAYAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE
🤣🤣🤣🤣Kuvuja kwa pakacha ...
🤣🤣🤣🤣Mficha uchi hazai
AiseeGanda la mua la jana Chungu kaona kivuno.
Duh!!Mficha uchi hazai