Hali yako ya kimaisha ya sasa unaipa methali au msemo upi?

Chochote ninachokifanya na kukutana nacho either kitanipa matokeo chanya au hasi-basi always nahitimisha kuwa it is part of the game.
 
nilipokua mdogo nilidhani wakubwa ndio wanafaidi sasa nimekuwa mkubwa nimegundua sio wakubwa wanafaidi bali ni wenye hela wanafaidiii
 
Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha.

hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi?

kwa Upande wangu mimi hali yangu ya sasa ningetumia

MAJI UKISHAYAVULIA NGUO SHARTI UYAOGE

Kuvuja kwa pakacha ...
 
imekuwaje tena mkuu

171504535_324376872357445_261345024468379289_n.jpg
 
Back
Top Bottom