Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,903
Who they care even hata technologies ya Kuwa care haipo.Sikubaliani na mawazo haya huu utakuwa uzalendo wa kioga, uzalendo wa kuogopa matatizo ni upuuzi!
Inawezekana pakatengwa eneo maalum wakakaa hata mwezi wanachunguzwa ili tujiridhishe, haya mambo yanaweza tokea hata hapa kwetu hivyo unadhani hatustahiri kuwasaidia?
Vipimo mpaka south Africa.
Don't you see China wenyewe Kwa wenyewe wameshindwa kudhibiti kusambaa Kwa ugonjwa how about us
Sent using Jamii Forums mobile app