Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Kutuhumiwa na kutotuhumiwa lipi bora??
Wacha watudharau,Mungu atawanyoosha
Hii iliyoandika hapa sio akili yako ni UMASKINI.Walipelekwa na serikali?
Watulie huko huko wasije kutuletea corona huku, huwa mnatunyanyasa kwa vipicha vya Uchinani sisi wanyonge tuliounga mkono juhudi za serikali kwa kusoma vyuo vya hapa hapa nchini kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usije ukawaulikutana na ndugu zake kaimu barozi w marekani ukajua ni wachina ,wachina wengine hawtokei chini wanatokea nchi zingineHii juzi tu nimepishana na mamia ya wachina pale airport wakiingia nchini.
U have a serious problem! I refuse to take part in your meaningless and endless discussion.Kwahiyo unatakaje? Wapi nimekulazimisha uamini ninachoamini mimi? We kama unajua kukumbusha sana lengo liwe nini? Huko china umeambiwa wageni ni watanzania tu! Umeshawahi kujiuliza nimataifa mangapi yametoa raia wake? Unadhani hayo yasiotoa raia wake hawana uwezo wakuwato? Au imekuuma lilivyo tumika andiko la dini usioipenda? Sasa wewe kama unajifanya unajua zaidi,wapelekee ndege basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ulikimbia shule. Hapo hawajadharau wameongea ukweli. Serikali zetu na viongozi bado sana....Wacha watudharau,Mungu atawanyoosha
Madege yapo
Sikubaliani na mawazo haya huu utakuwa uzalendo wa kioga, uzalendo wa kuogopa matatizo ni upuuzi!
Inawezekana pakatengwa eneo maalum wakakaa hata mwezi wanachunguzwa ili tujiridhishe, haya mambo yanaweza tokea hata hapa kwetu hivyo unadhani hatustahiri kuwasaidia?
Hii iliyoandika hapa sio akili yako ni UMASKINI.
Sasa wakirudi halafu watengwe si afadhari wabakie kulekule tu maana huku hatuna hata vifaa vya kupimia Corona. Afrika ni nchi sita tu ndizo zina vifaa vya kupimia.Warudishwe watengewe karantini ambapo watakua chini ya uangalizi kwa wiki 2 na zaidi,
Kuwaacha huko si sahihi. Matatizo hayakimbiwi.