mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
Nafikiri ni muda sasa Serikali iwafikirie vijana wetu Watanzania walioko nchini China (hasa walio kwenye maeneo yalioathirika zaidi na Corona virus).
Hofu inazidi kutanda si kwa vijana hao pekee bali hata kwa ndugu zao tulio Tanzania.
Nimehuzunishwa sana na ujumbe wa video ikiwaonyesha vijana wakiitaka na kuiomba serikali iwarudishe nyumbani Tanzania.
I believe serikali yetu inapenda raia wake, na hawa vijana wapo kwenye wakati ambao wana uhitaji huo upendo more than anything.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu inazidi kutanda si kwa vijana hao pekee bali hata kwa ndugu zao tulio Tanzania.
Nimehuzunishwa sana na ujumbe wa video ikiwaonyesha vijana wakiitaka na kuiomba serikali iwarudishe nyumbani Tanzania.
I believe serikali yetu inapenda raia wake, na hawa vijana wapo kwenye wakati ambao wana uhitaji huo upendo more than anything.
Sent using Jamii Forums mobile app