Ni jambo la kusikitisha kuona matumizi mabaya ya barabara ya uhuru wakati wahusika wa usimamizi wa matumizi ya barabara wapo na wanaangalia jinsi waendesha mikokoteni wanavyo pita katikati ya barabara na kusababisha usumbufu wa waendesha magari bila kuwachukulia hatua yoyote.
Vyombo vyetu vya usalama vinasubiri hadi kutokee ajali ndiyo vichukue hatua.
Vyombo vyetu vya usalama vinasubiri hadi kutokee ajali ndiyo vichukue hatua.