Hali ya Uokoaji Afghanistan bado tete, Taliban waomba msaada wa Kimataifa

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Inaelezwa kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na uharibifu mkubwa wa majengo na miundo mbinu ni kikwazo kikubwa kwa jopo la uokoji kusini-mashariki mwa Afghanistan, ambapo tetemeko kubwa la ardhi linaripotiwa kuua zaidi ya watu 1,000 na kuacha majeruhi takriban 1500.

Mamlaka ya Taliban imetoa wito wa msaada zaidi wa kimataifa, huku msemaji wao akikiri imekua vigumu kwa vikosi vya uokoaji kufikia manusura waliopo katika eneo la kitovu cha tetemeko hilo.
............

Heavy rain, threadbare resources and rugged terrain are hampering rescuers in south-east Afghanistan, where a powerful earthquake is reported to have killed more than 1,000 people.

Unknown numbers were buried in the rubble of ruined, often mud-built homes by the magnitude 6.1 earthquake.

Afghanistan's health system was facing near collapse even before the disaster.

The Taliban authorities have called for more international aid. Communication networks are also badly hit.

"We can't reach the area - networks are too weak," a Taliban spokesman was quoted by Reuters as saying.

The United Nations is among those scrambling to provide emergency shelter and food aid to remote areas in the worst-hit Paktika province.

Survivors and rescuers have told the BBC of villages completely destroyed near the epicentre of the quake, of ruined roads and mobile phone towers - and of their fears that the death toll will rise further. Some 1,500 people were also injured, officials say

SOURCE: BBC
 
Inaelezwa kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na uharibifu mkubwa wa majengo na miundo mbinu ni kikwazo kikubwa kwa jopo la uokoji kusini-mashariki mwa Afghanistan, ambapo tetemeko kubwa la ardhi linaripotiwa kuua zaidi ya watu 1,000 na kuacha majeruhi takriban 1500.

Mamlaka ya Taliban imetoa wito wa msaada zaidi wa kimataifa, huku msemaji wao akikiri imekua vigumu kwa vikosi vya uokoaji kufikia manusura waliopo katika eneo la kitovu cha tetemeko hilo.
............

Heavy rain, threadbare resources and rugged terrain are hampering rescuers in south-east Afghanistan, where a powerful earthquake is reported to have killed more than 1,000 people.

Unknown numbers were buried in the rubble of ruined, often mud-built homes by the magnitude 6.1 earthquake.

Afghanistan's health system was facing near collapse even before the disaster.

The Taliban authorities have called for more international aid. Communication networks are also badly hit.

"We can't reach the area - networks are too weak," a Taliban spokesman was quoted by Reuters as saying.

The United Nations is among those scrambling to provide emergency shelter and food aid to remote areas in the worst-hit Paktika province.

Survivors and rescuers have told the BBC of villages completely destroyed near the epicentre of the quake, of ruined roads and mobile phone towers - and of their fears that the death toll will rise further. Some 1,500 people were also injured, officials say

SOURCE: BBC
إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ‎
 
Back
Top Bottom