Hali ya uke kukauka wakati wa kufanya mapenzi

stricker

Member
Aug 18, 2014
18
1
Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja sasa, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwani mimi nipo Dar na yeye ni mwanafunzi mkoani Kilimanjaro.

Kwa sasa Yupo likizo Dar, juzi tulipata wasaa panapo 6x6. Baada ya kufanya mapenzi ikajitokeza hali yakupotea uteute na kukauka kabisa kabisa mara mbili nyakati tofauti.

Naomba kujua je nikweli nilimfikisha?

Mpenzi wangu anatatizo?au nilikosea kumuandaa?

Wadau naomba uzoefu wenu kwenye hili tafadhali
 
Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja ss, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwan mm nipo dar na yeye ni mwanafunzi mkoani kilimanjaro.
Kwa sasa Yupo likizo dar,juzi tulipata wasaa panapo 6x6.baada ya kuduu ikajitokeza hali yakupotea uteute na kukauka kbsa kbsa mara mbili nyakati tofauti.naomba kujua je nikweli nlimfikisha?,mpenzi wangu anatatizo?au nilikosea kumuandaa?

Wadau naomba uzoefu wenu kwenye hili tafadhali

Hakua anajisikia kufanya hilo tendo kwa muda huo.ulilazimisha tu na yy hakuweza kukuambia kua hajisikii.ni hilo tu hakuna zaidi
 
Naomba niende moja kwa
zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye
mahusiano kwa takriban mwaka mmoja ss, kwa kipindi kirefu tuko mbali
kwan mm nipo dar na yeye ni mwanafunzi mkoani kilimanjaro.
Kwa sasa Yupo likizo dar,juzi tulipata wasaa panapo 6x6.baada ya kuduu
ikajitokeza hali yakupotea uteute na kukauka kbsa kbsa mara mbili
nyakati tofauti.naomba kujua je nikweli nlimfikisha?,mpenzi wangu
anatatizo?au nilikosea kumuandaa?

Wadau naomba uzoefu wenu kwenye hili tafadhali

naskia kuna watu by nature ni wakavu hata umuandaeeje. afu mtu kila siku ugari utegemee awe na maji? subutu
 
Tafuta KY.....achana nao hao wanaosema we mtoto. Ungekuwa mtoto ungekausha?

Walaumiwe walioua utaratibu wa kwenda jandoni....
 
Back
Top Bottom