Mwendazake alituacha kwenye uchumi wakati ila akufafanua uenda ndo madhara ya uchumi wakati hayo.......TANZANIA tunadanganyana sana, mtu Ni jambazi, anatoa makafara ya damu za watu, wengine ndio mijizi kule hazina, halafu inatuzuga eti imekunywa maji ya upako na kujipaka mafuta ya Mwamposa
Hapo ulipo kilo ya korosho iliyokaushwa inauzwa shi ngapi?Niko Moja mkoa maarufu Kwa mazao ya korosho na mengineyo,Hali ya uchumi imekuwa ndivyo sivyo me ndugu zangu nini kinachofanya kuwa na Hali ngumu?