justin mwanshinga
Senior Member
- May 22, 2014
- 179
- 619
Mungu ni mwema sana
Hali ya Mbunge , Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA ambaye pia Raisi wa TLS Mheshimiwa Tundu Lissu imeendelea kuimarika...na sasa anaweza kula mwenyewe... Hakika Mungu Mwema sana tuendelee kumwombea Mungu azidi kumpa nguvu zaidi
View attachment 620681