ELI-91
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 3,583
- 9,666
Pongezi kwako JPM na waliokupa taarifa na ushauri juu ya hatua za kuchukua. Sarafu yetu inapopoteza thamani ni mzigo kwetu sote. Mwanzoni mwa mwezi wa tatu hali ilikua mbaya sana na shilingi haikua 'stable' kabisa, ilikua kila siku mpya inazidi kuporomoka. Lakini kwa sasa hali imetengamaa, japo bado dola moja inauzwa karibu na 2360 lakini bei haipandi hovyohovyo kama mwanzoni mwa mwezi huu.
penye kukosoa tutakosoa na penye kusifu tutasifu.
penye kukosoa tutakosoa na penye kusifu tutasifu.