respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]:Afya ya Mbunge wa Arusha , GODBLESS LEMA anayeshikiliwa na Polisi Mkoani Arusha ni mbaya baada ya kususia kula akiwa Mahabusu tangu alipokamatwa juzi asubuhi .
Source Itv
My take.
Hatua za makusudi zinatakiwa kuchukuliwa. Mahakama na Police wasimame kwenye Sheria. Lema anajulikana Duniani kote kuwa ni Mbunge na Mjumbe wa KK Chadema, Chama ambacho ni kikuu cha Upinzani Tanzania. Kosa gani la kumnyima Dhamana???
Wakati hayo yakiendelea tunaomba Viongozi wa Chama waendelee kumshawishi Lema ili apate kula kwani akiendelea na Mgomo na Police wakandelea na msimamo wao, Sote tunajua matokeo ni yapi na nani ataweka Sherehe.
BACK TANGANYIKA
Source Itv
My take.
Hatua za makusudi zinatakiwa kuchukuliwa. Mahakama na Police wasimame kwenye Sheria. Lema anajulikana Duniani kote kuwa ni Mbunge na Mjumbe wa KK Chadema, Chama ambacho ni kikuu cha Upinzani Tanzania. Kosa gani la kumnyima Dhamana???
Wakati hayo yakiendelea tunaomba Viongozi wa Chama waendelee kumshawishi Lema ili apate kula kwani akiendelea na Mgomo na Police wakandelea na msimamo wao, Sote tunajua matokeo ni yapi na nani ataweka Sherehe.
BACK TANGANYIKA