Hali ya maisha itakuwa mtihani kwa Rais Magufuli na CCM mpya 2020

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,222
5,946
Serikali ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli imejitahidi sana kurekebisha mapungufu ya awamu zilizotangulia na kushughulikia yale yaliyobainishwa na wapinzani.

Tumeona uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu, urekebishaji wa utoaji wa huduma kutoka kwa watumishi wa umma na mengine mengi.

Kwa mtazamo wa awamu ya 5 uchumi umekua, uwekezaji umefanyika ila kinachoonekana dhahiri ni ugumu wa maisha.

Hili la ugumu wa maisha linapewa majibu rahisi "mlizoea dili". Tungekuwa na upinzani makini lingekuwa mwiba kwa Rais Magufuli na CCM mpya 2020.
 
Serikali ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli imejitahidi sana kurekebisha mapungufu ya awamu zilizotangulia na kushughulikia yale yaliyobainishwa na wapinzani.

Tumeona uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu, urekebishaji wa utoaji wa huduma kutoka kwa watumishi wa umma na mengine mengi.

Kwa mtazamo wa awamu ya 5 uchumi umekua, uwekezaji umefanyika ila kinachoonekana dhahiri ni ugumu wa maisha.

Hili la ugumu wa maisha linapewa majibu rahisi "mlizoea dili". Tungekuwa na upinzani makini lingekuwa mwiba kwa Rais Magufuli na CCM mpya 2020.
Maaskofu wa Katoliki na wa KKKT kwa yaraka na wakati tofauti walionya wakapuuzwa!
Sasa AI na Human Rights Watch nao wamesema; lakini bado tunajifanya kama yule mnyama asiyejali muziki wa gitaa!
Tunaendaga UN kufanya nini? Kwani kuna mbuzi kule?
 
Serikali ya awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli imejitahidi sana kurekebisha mapungufu ya awamu zilizotangulia na kushughulikia yale yaliyobainishwa na wapinzani.

Tumeona uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu, urekebishaji wa utoaji wa huduma kutoka kwa watumishi wa umma na mengine mengi.

Kwa mtazamo wa awamu ya 5 uchumi umekua, uwekezaji umefanyika ila kinachoonekana dhahiri ni ugumu wa maisha.

Hili la ugumu wa maisha linapewa majibu rahisi "mlizoea dili". Tungekuwa na upinzani makini lingekuwa mwiba kwa Rais Magufuli na CCM mpya 2020.

Bullet ya kwanza isome tena, hapo ndio tatizo lilipoanzia sababu hajajitahidi kurekebisha mapungufu ya awamu zilizotangulia zaidi ametumia muda mwingi kupingana na watangulizi wake:
a. Miundo mbinu wenzie wametumia muda mwingi kuweka uwazi katika mfumo wa manunuzi yeye ndio kaingia na mfumo usio wazi zaidi ya amri zake zisizo zingatia mahitaji ya kitaalamu.
b. kwenye uchumi wenzie walituacha pazuri zaidi ya hapa, yeye kaenda mbali zaidi katika kuua sector binafsi na kuwepa vipaumbele vyake vya kibaguzi.
c. Ameingilia mifuko ya hifadhi za jamii na kuivuruga kabisa sababu yeye anaupendeleo zaidi katika sector ya umma, wale wa sector binafsi amewaumiza na kuwadhulumu pesa zao za mkupuo, lakini wabunge wao wanalipwa.
d.namna yake ya kuwapora wananchi na kuwekeza katika miradi inayopeleka pesa nje ndio gharama kubwa zaidi.

Hili la ugumu wa maisha aliambiwa toka mwanzo akaziba masikio kwa kujiita dereva wa lorry, mara yeye Jiwe matokeo yake yeye ndio amekuwa mkopaji mkubwa kuliko watangulizi wake, amezuia safari za nje kwa kuamini zinagharama kubwa lakini katumia muda mwingi na gharama kubwa katika tengua teua kama angekuwa wazi gharama zake ni zaidi ya safari za JK. kila anapoteua anaaalika watu, anakuwa live na kwakuwa ni ajira mpya manake cost lazima - shida nani ana audit sasa.

Ukuda uliopitiliza na kuua biashara ya madini cost implications zake yeye ndio anajua na opportunity cost zake sie tunaona ugumu wa maisha tu.

Aina yake ya upendeleo katika uwekezaji ndio vichekesho zaidi , manake tumesikia hata hospital ya rufaa ya kanda ya ziwa itajengwa kwake. wakati angeweka Geita/Mwanza/Musoma ingekuwa plug and play na Musoma plan ipo.
 
Maisha hayana budi kuwa magumu kwa watu wasiokuwa na maamuzi ya hatima yao. Maisha ya mtanzania yameporwa na mwanasiasa. Na kizazi hiki kimejiaminisha kuwa mwanasiasa ndiye atakayeleta maisha bora.

Ni hatari sana
 
Back
Top Bottom