Nilijua tu..😀Mkuu mimi ni mteja mkubwa sana wa hiyo kimpumu na kangara hivyo naelewa vizuri sana. Nipo hapa lwagasole
In God we Trust
Kama viazi navyo vimepanda, hii si Ina maana nasi wanaume wa Dar tutaathirika sana, sababu Chips Yai aka Zege haitakuwa 2500 tena.Viazi mviringo gunia kutoka 45000 mpaka 80000, mafuta Lita 20 kutoka 46000 mpaka 59000
Mkaa gunia kutoka 25000 mpaka 40000
Nyanya kisado kutoka 4500 mpaka 12000
Vitunguu kitochi kutoka 1000 mpaka 6000, pilipil kutkisado kutoka 3000 mpaka 7000 gano kilo 25 kutoka 22000 had I 29000
N.k hayo ndo maisha halisi bado ramadhani haijaja.
Kwa mtu aliye maeneo ya mbeya, unga nyanya vipi huko pamoja na morogoro?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yohana mbatizaji hakua na akili mbovu kama zako , unalikosea sana jina la Yohana mbatizaji na utaenda kujibu hio dhambiHata bei ya mbege na ulanzi imepanda pia!
Nilijua tu..
Yohana mbatizaji hakua na akili mbovu kama zako , unalikosea sana jina la Yohana mbatizaji na utaenda kujibu hio dhambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei ya nyanya imeathiriwa na hali ya hewa kwa kiasi kikubwa, lakini pia Bei za vyakula kwa msimu huu kikawaida huwa inapanda mpaka wakati Wa mavuno.
Bei ya vitu vya viwandani kama mabati, simenti, n.k ina sababu nyingi za kupanda ikiwemo kuongezeka kwa gharama za uzalishaji utaokanao na sababu mbalimbali.
Bei ya gas na petrol hiyo inaratibiwa na huko yatokako
Tuendelee kupambana tu maisha hayashuki yanazidi kupanda siku hadi siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka sukari mzee wetu Kikwete aliiwacha ikiwa ni sh 1800-leo hii ni 2800+ Los técnicos,
In God we Trust
Bei ya maharage ilikaa sana Sh 500-700 Kg leo hii bei ni 2500. Ongezeko x 4 zaidi. Ingawa mishahara na mapato ya wa watu yameganda vile vile kwa miaka 5 sasa na zaidi kodi ikiwemo Loarn Board imeongezeka toka 8% - 15% kwa mshahara ule ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Michele super 2300- 2500Unga sembe kg 1500,,mchele super kg 2000,nyanya kisado 8000-10000 inategemea na ubora wa nyanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa kibwagizo,The Guy is mocking & joking always,when will ever be serious?Leo Hapa Kigamboni Tunafungua Majengo Ya Wilaya
Sasa Yule Mwekezaji Anayewazuia Wananchi Kupita Eti Amefunga Njia Afungue Haraka. Naweza Kufuta Hati Ya Ardhi Anayomiliki Halafu Tuone
Halafu Anazuia Mpaka Watu Kupita Kwenda Kuzika, Ajue Naye Atakufa Atazikwa Humo Humo
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
😅😄😃🤣😂😁
GOD IS GREATHata bei ya mbege na ulanzi imepanda pia!
Mimi niko Kihesa jirani kabisa na kanisa la kaka yake mbunge Msigwa!