Hali ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI bado ni tishio, takwimu zinaonesha watu takribani 72,000 hupata maambukizi mapya Tanzania kwa mwaka

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Hali ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI bado ni tishio, takwimu zinaonesha kuwa watu takribani 72,000 hupata maambukizi mapya hapa Tanzania kwa mwaka hii ni sawa na wastani wa watu 6000 kwa mwezi ukienda zaidi watu 200 kwa siku au watu 8 kwa kila saa.

 
Halafu kutumia condom yataka moyo sana! Lakini ukiwa huna makeke kitandani kwa bao moja ni ngumu kupata cjui ni kweli!
Binafsi pia nadhani hakuna haja ya makeke mengi, hii kitu mnaita kusimamia kucha ndio inagharimu watu, kufanyana for hours nayo pia issue, iwe kwa kiasi.
 
Hali ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI bado ni tishio, takwimu zinaonesha kuwa watu takribani 72,000 hupata maambukizi mapya hapa Tanzania kwa mwaka hii ni sawa na wastani wa watu 6000 kwa mwezi ukienda zaidi watu 200 kwa siku au watu 8 kwa kila saa.


Tuache kupima kama katika Koronya itaisha
 
Ila ukaguzi ulikuwepo kujua kama kila eneo kuna vitakasa mikono na kila ofis mnavaa barakoa.


So unaruhusu wizara iwe inakagua kabla ya mechi?

Ndio ukaguzi muhimu.. maana hata wachezaji kabla ya mechi wanapima oil
 
Hali ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI bado ni tishio, takwimu zinaonesha kuwa watu takribani 72,000 hupata maambukizi mapya hapa Tanzania kwa mwaka hii ni sawa na wastani wa watu 6000 kwa mwezi ukienda zaidi watu 200 kwa siku au watu 8 kwa kila saa.


Watu nane kwa saa kwa TZ nzima Kama hiyo ndo takwimu basi maambukizi yemepungua Sana ukilinganusha na namba ya watu wanaogegedena kila SAA,kila nyumba ya kulala wageni mahali popote tz kuna watu wanagegedana, megetho ya masela kuna watu wanagegedana, mahotelini kuna watu wanagegedena, maofisi kuna secretary anagegedwa, hostel kina madent wa vyuo wanagegedana, usiku kuna wanandoa waliogegeda au kugegedwa watagegedana, kwenye chumba cha nabiii Fulani kuna mwanakondoo atakaswa uzazi. Kifupi kila mahali watu wanakulana na endapo kwa SAA watatoka nane wenye virusi basi tumepiga hatua
 
1.Maombi ya kitaifa..
2.makanisa ya hubiri ngono salama na matumizi ya kondomu kwani ni vigumu kufanya kabla ya ndoa.
3.guest house na mabar yote sharti yawe na vituo vya kondomu zitolewe bure.
4.wazalishaji wa bia katika kila bia wafunge pakiti ya kondomu.
5.serikali ihubiri matumizi ya kondomu hadharani kwa kasi ya ajabu ili watu wasioneane aibu.
6.kila duka la dawa ligeuzwe kuwa kituo cha kondomu.
7.wazalishaji wa kondomu zisizo za misaada wawekewe sheria ya kugawa kondomu miezi ya baridi na kipindi cha mvua.
 
1.Maombi ya kitaifa..
2.makanisa ya hubiri ngono salama na matumizi ya kondomu kwani ni vigumu kufanya kabla ya ndoa.
3.guest house na mabar yote sharti yawe na vituo vya kondomu zitolewe bure.
4.wazalishaji wa bia katika kila bia wafunge pakiti ya kondomu.
5.serikali ihubiri matumizi ya kondomu hadharani kwa kasi ya ajabu ili watu wasioneane aibu.
6.kila duka la dawa ligeuzwe kuwa kituo cha kondomu.
7.wazalishaji wa kondomu zisizo za misaada wawekewe sheria ya kugawa kondomu miezi ya baridi na kipindi cha mvua.
Vipi kuhusu ile kauli ya kuwataka watanzania wafyatue watoto kwa maana elimu ni bure?
 
Hali ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI bado ni tishio, takwimu zinaonesha kuwa watu takribani 72,000 hupata maambukizi mapya hapa Tanzania kwa mwaka hii ni sawa na wastani wa watu 6000 kwa mwezi ukienda zaidi watu 200 kwa siku au watu 8 kwa kila saa.


Ile kauli ya kishujaa "siwezi kula pipi na maganda yake...." ndiyo inayo waponza watu.
 
Wafanye kama corona... hatukusimamiwa tunawe.. ila tulikua tunanawa
Tatizo ya corona ni kwamba unasepa within days. Ngoma watu tunadunkika nayo mwaka wa ishiri huu na hakuna arv wala nini na tukigegeda tunaenda round nne🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom