Chimo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2008
- 714
- 360
Inasikitisha kuona hali ya kisiasa inavyoendelea ni kama Vyama Vikuu vya Kisiasa Nchini vimegeuka kama vilabu vikubwa vya soka Nchini.
Naamanisha Simba, Yanga na Wakati Mwingine Azam. Ushindani wao wa kuibuwa Wabunge kutoka Upande moja kwenda kwingine hakuna tofauti na Niyonzima kwenda Simba na Ajib kwenda Yanga.
Angalia Ilivyoaanza Madiwani wa Arumeru kisha Kujivua Ubunge Nyarandu Halafu Mara Paaaaaaa Leo Mtulia Naona Kama Siasa za Soka zinakuja kwenye Vyama vinavyopaswa kuwa Seriously na issue za Maisha ya Kila Siku ya Mtanzania huku vikijitengenezea Heshima ya kuwa Taasisi Kubwa zenye Dhamana ya kuongoza Watanzania Kuliko kuanza Kuingia kwenye Ulinge wa Kutumia Mlungula kama Vilabu vya soka vinapoaanza kukusanya Saini za Wachezaji kwa mtindo huo vyama na vyenyewe Kumbe vina Dirisha Dogo?Vinasajili Wabunge na Madiwani?
Naamanisha Simba, Yanga na Wakati Mwingine Azam. Ushindani wao wa kuibuwa Wabunge kutoka Upande moja kwenda kwingine hakuna tofauti na Niyonzima kwenda Simba na Ajib kwenda Yanga.
Angalia Ilivyoaanza Madiwani wa Arumeru kisha Kujivua Ubunge Nyarandu Halafu Mara Paaaaaaa Leo Mtulia Naona Kama Siasa za Soka zinakuja kwenye Vyama vinavyopaswa kuwa Seriously na issue za Maisha ya Kila Siku ya Mtanzania huku vikijitengenezea Heshima ya kuwa Taasisi Kubwa zenye Dhamana ya kuongoza Watanzania Kuliko kuanza Kuingia kwenye Ulinge wa Kutumia Mlungula kama Vilabu vya soka vinapoaanza kukusanya Saini za Wachezaji kwa mtindo huo vyama na vyenyewe Kumbe vina Dirisha Dogo?Vinasajili Wabunge na Madiwani?