johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Kwa wale ambao mko barabarani muda huu tupeane taarifa ya hali ya foleni tusije kulala barabarani kama juzi.
Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.
Ahsanteni in advance.
Maendeleo hayana vyama!
Naomba hali ya barabarani hasa Bagamoyo road na ile Mwai Kibaki hadi kunduchi mtongani.
Ahsanteni in advance.
Maendeleo hayana vyama!