naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 647
- 800
Huu ushabikibi wa kijinga na upotoshaji unaoletwa na baadhi ya watu wajinga na wanasiasa wajinga kwamba Hali ni mbaya Sana Hadi kufikia kumtukana Mh rais mitandaoni Kwa uamuzi wake wa kuto lock down baadhi ya mikoa
Naomban niwambiei mimi ni mmoja wa wapambanaji tena kwenye ms
tari wa mbele kabisa kama ni vitani nipo uso Kwa uso na adui
Hali ya colona nichini si mbaya kama watu wanasema,japo taadhari ni lazima zichukuliwe
Fikiria wagonjwa 147 kata ya ao 131 wanaendelea vizur,
Tupo kwenye week za kilele kwenye maambukizi tukiwa na wagonjwa 147 wakati huo WHO walisema kufikia week hii tungekua na wagonjwa 1000 na vifo 300
Je mmesahau wakati ubalozi wa marekani ulivyowataashirisha raia wake kua baada ya week tatu Tanzania itakua Zaidi ya itary?
Huu ugonjwa unapewa sifa kisa unauwa Sana watu weupe, (wazungu)
Ungeanzia Africa ungepewa sifa kiasi hiki?
Acheni polojo za kijinga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomban niwambiei mimi ni mmoja wa wapambanaji tena kwenye ms
tari wa mbele kabisa kama ni vitani nipo uso Kwa uso na adui
Hali ya colona nichini si mbaya kama watu wanasema,japo taadhari ni lazima zichukuliwe
Fikiria wagonjwa 147 kata ya ao 131 wanaendelea vizur,
Tupo kwenye week za kilele kwenye maambukizi tukiwa na wagonjwa 147 wakati huo WHO walisema kufikia week hii tungekua na wagonjwa 1000 na vifo 300
Je mmesahau wakati ubalozi wa marekani ulivyowataashirisha raia wake kua baada ya week tatu Tanzania itakua Zaidi ya itary?
Huu ugonjwa unapewa sifa kisa unauwa Sana watu weupe, (wazungu)
Ungeanzia Africa ungepewa sifa kiasi hiki?
Acheni polojo za kijinga,
Sent using Jamii Forums mobile app