Namche Bazar
Senior Member
- Apr 8, 2019
- 105
- 152
Nimefuta video ya uharibifu wa barabara ya Ngorongoro crater kutokana na wenye mamlaka kukataza.
SGR na Nyerere Dam(Stiggler)Tusibiri wamalize kuhamisha wanyama kwenda Burigi ndio watarudi kuja kukarabati barabara.
Najiuliza kiingilio cha mtalii wa nje mmoja Ngorongoro ni USD 71,Crater fee kwa gari ni USD 295,camping fee kwa mtalii wa nje USD 35.4 kwa siku moja.
Maelfu kwa maelfu wanatembelea Ngorongoro crater kwa mwaka,pesa zinaenda wapi?
Wanashindwaje kumudu gharama za kutengeneza barabara huku mamlaka ikiwa ina mitambo ya kutengenezea barabara,imeajiri madereva nk
Tanzania kama nchi tuombe Mungu sana huenda kuna laaana sio bure.!!
Exactly, nilikuwa nakuja huko, mbaya sana watu kuleta siasa hata katika vitu wasivyovijua, hao ni watu wa utalii wanachoangalia ni namna ya kuingiza kipato tu na kuwafurahisha wageni wao lakini hawajui tourism its just a small portion ya shughuli nyingi zinazofanyika hifadhini, shughuli ya kwanza na kubwa ni uhifadhi.Barabara za Hifadhi ya taifa zipo hivo zote ili kuleta u ‘natural’ miaka yote hizo barabara zipo hivo ndio maana gari zinazoenda porini ni Land Crusier na Land Rover. Hizi sehem ni za wakazi za wanayama wa porini mnataka muwapelekee lami? Sio jana wala juzi porni hamna njia nzuri na ndio ilivo we kama una ki ist huku hakukuhusu
Stev Nyerere njoo huku acha kulumbana na Msigwa.
Mkuu usiongee kitu kama hukijui. Barabara za hifadhini huwa zinakarabatiwa ili zipitike na hadi madaraja huwa yanajengwa.Barabara za Hifadhi ya taifa zipo hivo zote ili kuleta u ‘natural’ miaka yote hizo barabara zipo hivo ndio maana gari zinazoenda porini ni Land Crusier na Land Rover. Hizi sehem ni za wakazi za wanayama wa porini mnataka muwapelekee lami? Sio jana wala juzi porni hamna njia nzuri na ndio ilivo we kama una ki ist huku hakukuhusu
Mkuu usiongee kitu kama hukijui. Barabara za hifadhini huwa zinakarabatiwa ili zipitike na hadi madaraja huwa yanajengwa.
Lami haiwekwi ila wanakarabati sana tu.
Hiyo video nadhani ni ndani ya crater, ulimaanisha kutengeneza barabara ndani ya crater ama??