N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
I wonder hata kama kuna agency ya kusimamia barabara kama inaiona hatari kwenye hizi kona za Iyovi.
Kwani eti nyie TANROADS kufyeka nyasi shilingi ngapi hasa.
Nimekutana na Malori matatu yamemwaga kwenye hizi kona na possibility ya magari kugongana ni kubwa mno.
Safisheni hicho kipande. Kina hatari sana na majani marefu kwenye kona na ni kipande kirefu tu.
Hapo bado sijazungumzia matobo mengi mno yaliyomo kwenye kipande cha ndani ya hifadhi Mikumi.
Sitaki kuamini kwamba kuna kikwazo chochote kurekebisha hivi vipande vya barabara vinagharimu maisha ya watu.
Hapo Iyovi nyasi zimeota kiasi kwamba hata watembea kwa miguu hawana mahala pa kutembelea au kujitetea gari linapokuja.
Mwaka jana nilipita hapo mtoto mwanafunzi akawa kagongwa eneo hilo la Iyovi wenyeji wanasema inaonekana semi upepo ulimvuta maana alijitetea akiwa jirani sana na barabara sababu ya manyasi. Kalikuwa katoto kadogo.
Nasikitika kuona kwamba kila mwaka msimu wa mvua hamtoi haya majani kwa wakati.
TANROADS eeh hili ni jambo dogo sana. You can do it. Muwe mnatoa hizo nyasi Iyovi kwa wakati zinasababisha ajali sana.
INAUDHI!
I'm the witness.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani eti nyie TANROADS kufyeka nyasi shilingi ngapi hasa.
Nimekutana na Malori matatu yamemwaga kwenye hizi kona na possibility ya magari kugongana ni kubwa mno.
Safisheni hicho kipande. Kina hatari sana na majani marefu kwenye kona na ni kipande kirefu tu.
Hapo bado sijazungumzia matobo mengi mno yaliyomo kwenye kipande cha ndani ya hifadhi Mikumi.
Sitaki kuamini kwamba kuna kikwazo chochote kurekebisha hivi vipande vya barabara vinagharimu maisha ya watu.
Hapo Iyovi nyasi zimeota kiasi kwamba hata watembea kwa miguu hawana mahala pa kutembelea au kujitetea gari linapokuja.
Mwaka jana nilipita hapo mtoto mwanafunzi akawa kagongwa eneo hilo la Iyovi wenyeji wanasema inaonekana semi upepo ulimvuta maana alijitetea akiwa jirani sana na barabara sababu ya manyasi. Kalikuwa katoto kadogo.
Nasikitika kuona kwamba kila mwaka msimu wa mvua hamtoi haya majani kwa wakati.
TANROADS eeh hili ni jambo dogo sana. You can do it. Muwe mnatoa hizo nyasi Iyovi kwa wakati zinasababisha ajali sana.
INAUDHI!
I'm the witness.
Sent using Jamii Forums mobile app