Bhbm
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 714
- 208
Wapendwa wanajamii wenzangu naomba nielimishwe kama kuna uwezekano wowote wa mheshimiwa Dr. Slaa( PhD YA DARASANI) kupata ubunge wa viti maalumu ikitokea kwa bahati mbaya ccm wakafanikiwa kuchakachua matokeo ili naye akaongeze na kuendeleza mapambano pale mjengoni Dodoma ya watanzania.