
- Joined
- Dec 21, 2009
- Messages
- 12,765
- Likes
- 1,031
- Points
- 280

Wacha1
JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2009



Baada ya kuona Chama Cha Majambazi wanapoteza ushindi alitoa amri ya kutokutangaza matokeo ili Watanzania wagiribike lakini wapi, Je Dr. Slaa anaweza kumpa uwaziri wa mambo ya nje ili aridhike na matokeo halali ya uchaguzi na kuokoa damu ya walipa kodi isimwagike?
Matokeo yote tayari yanajulikana kwa nini wasitoe au wanafikiri Watanzania ni wakuburuzwa? Chadema toeni matokeo yote kutoka kwa wakala wenu hadharani ili NEC wakitoa yao tuwaulize wameyapata wapi?
Matokeo yote tayari yanajulikana kwa nini wasitoe au wanafikiri Watanzania ni wakuburuzwa? Chadema toeni matokeo yote kutoka kwa wakala wenu hadharani ili NEC wakitoa yao tuwaulize wameyapata wapi?