Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

Bila kufafanua vema kubainisha ni Mbunge wa Jimbo lipi na wapi, huu NAO ni ujinga mwingine wa mleta mada, tutajuaje, je ikiwa ni ndio zile video za 2015 tutajuaje Sisi?
 
Ebu tuambiane nyie mnataka Rais ambaye alikuwa anaiabudu Lock down, aliyekuwa anawaabudu wanaotukejeli bila kuwa na lockdown, aliyekuwa ametumwa kuiponda nchi yetu kuwa hawachukui hatua za Covid-19, mnataka anayefanya maigizo kuwa watu wavae barakoa wakati mwenyewe wakati yeye mwenyewe hajavaa, anayetaka lockdown wakati yeye Mwenyewe hayupo lockdown, anayeabudu misaada ya lockdown wakati akiona wenzetu Wakenya wanavyopata taaabu saaaaana. Hivi hata Mikutano mnayoifanya hamwelewi yote ni jitihada za JPM.
Hebu ba jameni tujiulize maswali kuhusu suala la JPM na kitu kinaitwa corona.
1). Wakati tunachagua Rais wa 2015 huyu corona alikuwepo?
2). Kama alikuwepo, tulichagua Rais wa kupambana na Corona?
3). Kama kweli maono ya JPM ndiyo yaliyofukuza corona, mbona tunahangaika na kujenga mahospitali na mazahanati kwa gharama kubwa, si maono hayo yatuondolee ukimwi, kifua kikuu, kisukari na shinikizo la damu?
4). Kama uwezo wa JPM uko katika kitengo cha tiba, kwanini tusimuachie wizara ya afya tukapata rais wa kushughulika na uhuru, haki na maendeleo ya watu?
 
Jiwe alisema yeye ni kichaa.

Wakati mwingine huwa nashindwa kumlaumu mtu anayesema yeye ni kichaa.

Ila CCM kutuletea mtu kama Pombe mmetuumiza sana watanzania.

Jiwe out 2020
Jiandae kuumia. Hutaki kufa kabisa
Screenshot_2020-10-01-08-36-44.jpeg
 
Ebu tuambiane nyie mnataka Rais ambaye alikuwa anaiabudu Lock down, aliyekuwa anawaabudu wanaotukejeli bila kuwa na lockdown, aliyekuwa ametumwa kuiponda nchi yetu kuwa hawachukui hatua za Covid-19, mnataka anayefanya maigizo kuwa watu wavae barakoa wakati mwenyewe wakati yeye mwenyewe hajavaa, anayetaka lockdown wakati yeye Mwenyewe hayupo lockdown, anayeabudu misaada ya lockdown wakati akiona wenzetu Wakenya wanavyopata taaabu saaaaana. Hivi hata Mikutano mnayoifanya hamwelewi yote ni jitihada za JPM.
Watanzania toka mjue kuna kitu kinaitwa lockdown hatusemi, Magufuli amekuwa rais wa Covid 19.
 
Ebu tuambiane nyie mnataka Rais ambaye alikuwa anaiabudu Lock down, aliyekuwa anawaabudu wanaotukejeli bila kuwa na lockdown, aliyekuwa ametumwa kuiponda nchi yetu kuwa hawachukui hatua za Covid-19, mnataka anayefanya maigizo kuwa watu wavae barakoa wakati mwenyewe wakati yeye mwenyewe hajavaa, anayetaka lockdown wakati yeye Mwenyewe hayupo lockdown, anayeabudu misaada ya lockdown wakati akiona wenzetu Wakenya wanavyopata taaabu saaaaana. Hivi hata Mikutano mnayoifanya hamwelewi yote ni jitihada za JPM.
Sijui Nani alituloga Tanzania.....ivi ugonjwa kuepo nakuondoka nako credit anapewa kiongozi....Aya ndio madhara yakuacha watu wachache wafikiri juu yetu afu sisi tunashanglie tu.....wewe na nchi zakiarabu Nani anaiman Sana,au wewe napale Roma,Vatican, Israel Nani anaiman zaidi......ukiwa naakli kubwa utagundua kiongozi wetu aljua kulngana nahali yamaisha yetu hatuwez toboa naukzngatia tayar alkuwa ana marafiki ivyo asingeweza mudu garama zamaisha.alichokfanya nikujdai kbur nakufcha taarifa ila ukweli nkwamba watu wamekufa wengi tu....;Mshukuru Mungu sio kumshukuru binadamu mwenzio iyo nikufuru.we ukimsfu binadamu nakule capevede wamsifu nani.mstumie magonjwa yaduniani Kama ngao yakujilindeni mchaguliwe watu hawataki story zacorona maisha yet wenyewe corona tosha.tunataka Haki na maendeleo yakweli
 
Sasa ni dhahiri kwamba hali ya wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais hadi udiwani ni ngumu. Inasemekana huyu ni mgombea ubunge wa CCM amekataliwa wazi wazi bila chenga na wakazi wa jimbo lake.

View attachment 1586446
Mambo ya kiboya kwani hapo nikwenye sanduku la kura!! Kama unahasira zionyeshe kwenye sanduku la kura sio penginepo
 
Tumesikia, ila Dunia nzima hakuna Rais aliyefikia kiwango cha JPM. Ikiwa kwenye utendaji na kumtumaini Mungu. Wewe endelea na Mwabudu kuzimu TAL
TL na Kuzimu vinauhusianishwa na watu wenye nia ya kuwanyima wenzao haki ya Mungu ya kuishi kwa kutoa uhai wa wenzao. Kwa maneno yako umo. Hutapata furaha duniani na huna ahadi ya kiimani inayokuhusu
 
Sasa ni dhahiri kwamba hali ya wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais hadi udiwani ni ngumu. Inasemekana huyu ni mgombea ubunge wa CCM amekataliwa wazi wazi bila chenga na wakazi wa jimbo lake.

View attachment 1586446
Ya wapi hii na ni lini?! Maana taarifa ya wiki hii mwanzoni ya Amsterdam ni kuendeleza kampeni kwenye social media ili ku- discredit the authorities...anasema lazima juhudi zaidi ziongezwe mitandaoni kuichafua serikali na mamlaka nzima...lengo lake ni kuendelea hivi hivi na baadaye watu waingie mitaani watu wafe uchaguzi uvurugike na jumuiya ya kimataifa iingilie Kati na kuitisha mazungumzo Kati ya Lissu na CCM..stupid ...very stupid indeed...
 
Ebu tuambiane nyie mnataka Rais ambaye alikuwa anaiabudu Lock down, aliyekuwa anawaabudu wanaotukejeli bila kuwa na lockdown, aliyekuwa ametumwa kuiponda nchi yetu kuwa hawachukui hatua za Covid-19, mnataka anayefanya maigizo kuwa watu wavae barakoa wakati mwenyewe wakati yeye mwenyewe hajavaa, anayetaka lockdown wakati yeye Mwenyewe hayupo lockdown, anayeabudu misaada ya lockdown wakati akiona wenzetu Wakenya wanavyopata taaabu saaaaana. Hivi hata Mikutano mnayoifanya hamwelewi yote ni jitihada za JPM.
We Boya mzima kichwani kweli?
 
Ya wapi hii na ni lini?! Maana taarifa ya wiki hii mwanzoni ya Amsterdam ni kuendeleza kampeni kwenye social media ili ku- discredit the authorities...anasema lazima juhudi zaidi ziongezwe mitandaoni kuichafua serikali na mamlaka nzima...lengo lake ni kuendelea hivi hivi na baadaye watu waingie mitaani watu wafe uchaguzi uvurugike na jumuiya ya kimataifa iingilie Kati na kuitisha mazungumzo Kati ya Lissu na CCM..stupid ...very stupid indeed...
Na hii ni ya lini mkuu.
 
Back
Top Bottom