mchotamaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 219
- 66
Watanzania wameamua licha ya ahadi nyingi kutoka kwa mgombea urais Bw.Magufuli.Watanzania bado wanazikumbuka ahadi hewa za Rais Kikwete za toka 2005/2010 Na 2010/2015 .Watanzania wamechoka kudanganywa kama watoto hivyo hawana imani Na ahadi lukuki zinazotolewa Na Magufuli huku Magufuli huyo huyo akiponda serikali iliopo kwa kushindwa kutekeleza ahadi hizo wakati Na yeye yumo ndani ya Serikali hiyo.Miongoni mwa ahadi hewa za CCM ni pamoja Na Mahakama ya kadhi, Meli , Viwanja vya ndege , Madeni ya Walimu Na waTumishi Wa serikali.