Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,321
- 17,812
Kwa hivyo mkuu unaamini hawana pesa ya dawa wakati wanawekeza pesa kibao ya miradi ya silaha?Kile kibaba kiache kiburi jamani, mimi nilijua amejikamilisha kila kitu ndio maana jeuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wababe kama wale hujali sana huduma za afya za watu wao wanaogopa uasi.
Propaganda za adui wake zinatulisha taarifa za uongo kwa malengo flani.