Hali tete mtaani. Baa zazidi kufungwa kwa kukosa wateja!

Rais mwenyewe akisikia au kuona hivyo ndi anashangilia na kucheka, bila kujua bajeti yake inategemea hizo pombe baada ya bandari kukimbiwa na vijana wake wengi wanaajiriwa kuwa mabaamedi na wakaanga chipsi, wachoma nyama wakishapata divisheni 4 na digrii uchwara kwenye mashule na mavyuo yao yasiyo na viwango....huo ndio upeo wa rais wetu na watanzania anaowaongoza

Hivi dadangu nchi kama libya na Dubai uchumi wao ulitegemea pombe?
 
Hapo watachekelea eti mafisadi wamekomeshwa, sijui ni akili za wapi hivo, hawajui wengi wamefunga biashara zao
yaan wanashangilia wasichokijua mtu mwenye mtaji wa bil 100 na mwenye laki tano...uchumi ukibana mwenye bil 100 anafunga tu biashara na kuhama nchi
 
Jamani ni kweli. Najua marafiki zangu wamefunga groceries zao kisa hakuna wateja na muda wa kunywa umepunguzwa hadi saa 6 tu kwa siku. Hawana fedha za kuwalipa madada wanaowauzia ambao nayo ni ajira yao. Sasa wanaenda kujiuza cheap huko nako wateja hamna ukimpata ni asiyehitaji kondomu. Majanga!

Siye zile baa zetu zisizo na leseni wala baa medi zinaendelea kama kawa na isitoshe wateja wameongezeka ila wao (wateja wapya) hawanywi komoni kama sie wanakunywa sana banana na viroba kwa kweli wanatutesa maana wengine wanatoa hadi noti ya elfu tano!!!!. Muda wetu wa kufungua uko palepale na freedom ya kuimba akapela na kucheza zawisa..Raha Tupu TZ
 
Wewe lofa sana. Kwahiyo bar sio sehem ya ukuaji wa uchumi. Yan CCM mnapoor mentalities of thinking beyond comprehension. Mji wa Las Vegas ni kati ya miji duniani inayoongoza kwa starehe. Kiac cha pesa inachoingiza Las Vegas kwa mwaka inaweza kusustain budget ya Tanzania miaka 12.

Mnadhani watu wanataka kufanya kazi kama punda. Starehe ni sehemu ya maisha. Watu wanahustle wapate pesa wale bata sio kuish kama mashetani bhna.

Naomba ufatilie Financial Report ya TBL itakayotoka mwaka huu utaona Mchango wa TBL katka GDP utakavyokuwa unepungua kwa kasi.
Usipanic brother, kwanza jiulize kwa nini bar nyingi sasa hivi wanalalamika hakuna wateja, ndio upanic brother
 
Nchi sasa inaanza kumjuwa mungu kuwa pombe ni chukizo kwa bwana. Tufanye kazi pesa itusaidie sio kunywa pombe Mara toroka uje bar hapana watu walale kwa wamke kwao na akili timamu nchi ijengwe
tatizo ni pesa hakuna mkuu na sio sababu nyingine tena
 
Mnaingiza biblia ila nchi inahitaji viwanda ili iendelee. Bia zilikuwa na zitaendelea kuwa chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali, na ni wazi miaka mitano sasa itaisha na mkuu ataomba PO maana hatakuwa ameachieve lolote kama hata kodi ya bia hataipata.
 
Pesa IPO tatizo pesa za ujanjaujanja ndio hakuna mkuu kama unafanya biashara halali pesa IPO kupiga dili ndio
 
Rais mwenyewe akisikia au kuona hivyo ndi anashangilia na kucheka, bila kujua bajeti yake inategemea hizo pombe baada ya bandari kukimbiwa na vijana wake wengi wanaajiriwa kuwa mabaamedi na wakaanga chipsi, wachoma nyama wakishapata divisheni 4 na digrii uchwara kwenye mashule na mavyuo yao yasiyo na viwango....huo ndio upeo wa rais wetu na watanzania anaowaongoza
Wee kuvunjwa kwz ikuta tar 1 /9 bado inakuuma
 
Nasikia huko sasa hivi wababa wote wanazijua tamthilia zote za tv,wanawaambia madada wakazi waamshe kama mchezo ukianza
 
Safi sana na zifungwe tu hizo bar hamna namna bwashee, mlizowea pesa za wizi mkafikia hadi kusema bongo ni new york, manina zenu muisome tu namba !! Pesa ipatikane kihalali na kila mtu alipe kodi kama mamtoni vile.. Chezea ngosha wewe., hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom