Hujui unachosema. Kodi sasa inakusanywa kwenye biashara zote na siyo pombe na sigara tu. Pia wanywaji wengi wa pombe walikuwa watumishi wa umma ambao wamenyimwa posho bandia na matumizi ya serikali yamepungua. Bandarini pia mizigo mingi ilikuwa ya mafisadi wasioilipia ushuru na kodi ndiyo maana mapato ya TRA hayajaathirika. Wenye kiu wanywe maji yana afya zaidi.Rais mwenyewe akisikia au kuona hivyo ndi anashangilia na kucheka, bila kujua bajeti yake inategemea hizo pombe baada ya bandari kukimbiwa na vijana wake wengi wanaajiriwa kuwa mabaamedi na wakaanga chipsi, wachoma nyama wakishapata divisheni 4 na digrii uchwara kwenye mashule na mavyuo yao yasiyo na viwango....huo ndio upeo wa rais wetu na watanzania anaowaongoza
Mapato ya TRA hayajaathirika? Wewe nae bhana, mwambie uliemwazima akili akurudishie!Hujui unachosema. Kodi sasa inakusanywa kwenye biashara zote na siyo pombe na sigara tu. Pia wanywaji wengi wa pombe walikuwa watumishi wa umma ambao wamenyimwa posho bandia na matumizi ya serikali yamepungua. Bandarini pia mizigo mingi ilikuwa ya mafisadi wasioilipia ushuru na kodi ndiyo maana mapato ya TRA hayajaathirika. Wenye kiu wanywe maji yana afya zaidi.
Kuna athari kubwa kiuchumi na mzunguko wa pesa
Mkuu nimekusoma lakini kote duniani ni kawaida serikali mpya inapoingia madarakani,mzunguuko wa pesa unakuwa mgumu,sema kwa sababu nchi ilibatizwa siasa kila kitu kisiasa!Kuna athari kubwa kiuchumi na mzunguko wa pesa
Kwa akili yako ilovokuwa ngumu ni kwa sababu ya wizi. Poor mind kwanza wezi hawafiki elfu moja ukiona hivo ujui uchumi unakua mubovu ka wa Zimbabwe.
Bar hizi hizi zinazolipa wahudumu 50,000-80,000?!Madada wote wazuri kwenye eneo lako wameajiriwa Bar , Bar ni ajira kubwa sana mkuu , uchunguzi unaonyesha kwamba wake wa mapolisi wengi walikuwa wanafanya kazi Bar , fanya utafiti .
Mapato hayajaathirika? unaishi wapi mkuu? au unasikia hayo maneno ya wana siasa wanaojikanyaga kila siku unawaamini? kama unafahamu mtu anayefanya kazi TICTS au kwenye kampuni yoyote ya clearing au ICD au shipping line yotote mwambie akuelezee ukweli sio kusikia maneno ya majukwaani tu....Hujui unachosema. Kodi sasa inakusanywa kwenye biashara zote na siyo pombe na sigara tu. Pia wanywaji wengi wa pombe walikuwa watumishi wa umma ambao wamenyimwa posho bandia na matumizi ya serikali yamepungua. Bandarini pia mizigo mingi ilikuwa ya mafisadi wasioilipia ushuru na kodi ndiyo maana mapato ya TRA hayajaathirika. Wenye kiu wanywe maji yana afya zaidi.
Mambo hayo! Naona mzee anajichanganyia vituuuzzView attachment 381770
Drink beer ' save water
Mzee alikua anaelewa mambo.Mambo hayo! Naona mzee anajichanganyia vituuuzz