Hali tete mgodi wa Bulyanhulu (Kahama)

Sir M.D.Andrew

JF-Expert Member
Jul 30, 2012
201
37
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,uongozi mgodi wa bulyanhulu kahama umewafukuza kazi wafanyakazi wake na kufuta vitambulisho vyao,kadhalika mgodi umetoa nafasi ya mwisho kwa waajiriwa wanaotaka kufikiriwa kuingizwa kwenye ajira kusaini fomu maalum ya kukiri kutokujihusisha na mgomo siku zijazo,pia mgodi umewashutumu wafanyakazi hao kuwa kugoma ni kuiletea hasara kampuni kwa kosa lisilo lao,zaidi mgodi umeongeza ulinzi wake baada ya wanajeshi 80 kutoka canada kuwasili leo kwa ndege binafsi ya kampuni
 
Dah!!!! Yaani ndio yamekuwa hayo tena ya kuingiza majeshi toka nchi za nje nchini kwetu!!!! Hili halijakaa sawa hata kidogo!!! Kama ni kweli Serikali iwafukuze haraka sana wanajeshi hao.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida,uongozi mgodi wa bulyanhulu kahama umewafukuza kazi wafanyakazi wake na kufuta vitambulisho vyao,kadhalika mgodi umetoa nafasi ya mwisho kwa waajiriwa wanaotaka kufikiriwa kuingizwa kwenye ajira kusaini fomu maalum ya kukiri kutokujihusisha na mgomo siku zijazo,pia mgodi umewashutumu wafanyakazi hao kuwa kugoma ni kuiletea hasara kampuni kwa kosa lisilo lao,zaidi mgodi umeongeza ulinzi wake baada ya wanajeshi 80 kutoka canada kuwasili leo kwa ndege binafsi ya kampuni
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,uongozi mgodi wa bulyanhulu kahama umewafukuza kazi wafanyakazi wake na kufuta vitambulisho vyao,kadhalika mgodi umetoa nafasi ya mwisho kwa waajiriwa wanaotaka kufikiriwa kuingizwa kwenye ajira kusaini fomu maalum ya kukiri kutokujihusisha na mgomo siku zijazo,pia mgodi umewashutumu wafanyakazi hao kuwa kugoma ni kuiletea hasara kampuni kwa kosa lisilo lao,zaidi mgodi umeongeza ulinzi wake baada ya wanajeshi 80 kutoka canada kuwasili leo kwa ndege binafsi ya kampuni

ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania tuliyoahidiwa na m_kwere wa bagamoyo
 
Hivi vitendo vya majeshi ya nje kuingia nchini mwetu kiholela ndo utawala bora? Serikali yetu iko wapi? Posho za nini kwa majeshi yetu yanayopoteza hadhi ya kuitwa majeshi na kubatizwa mikoa ya chama tawala?
 
Mwanzisha mada namwomba aangalie tena chanzo chake.
Wanajeshi wa Canada wanawezaje kuingia nchini mwetu kisa kuja kulinda biashara ya watu flani?
Tena Mgodi wa Bulyanhulu mwekezaji sio serikali ya Canada wala sio jeshi so inakuwaje Wanajeshi wa Canada waje kuulinda?
Hiyo habari haiingii akilini ingawa kila kitu kinawezekana katika nchi hii.
 
Wale jamaa huwa wanatabia moja.wakiona wabongo wanaleta longolongo huwa wanakatabia kam kuwaleta ma X soldiers from private campanies eg black gates kuja kusimamia ulinzi maaeneo nyeti.
 
Ni ishu ya NSSF. Lkini nawashangaa hao wafanyakazi wa huo mgodi kwa sababu kosa ni la Serikali lakini wafanyakzi wameigomea menagement ya mgodi! sasa sijui wapi na wapi?
Hasira zikitawala busara ni hasara, hawajui hata wa kumgomea!
 
Ninavyojua mgodi huu unamilikiwa na kampuni ya BARRICK kutoka CANADA,Hata kabla ya mgomo huu,nafasi za juu za uongozaji wa mgodi zinashikiliwa na wa canada,si ajabu watu hawa kuleta walinzi wao kulinda kampuni yao,,lakini pia kumbukeni kuwa ktk migogoro ya namna ni fursa kwa wengine kuingiza watu wao kwa kisingizio cha machafuko,kufa kufaana ni msemo unaotumiwa kwa vitendo hapa tz hasa wakati ambao hali si shwari
 
[h=1]African Barrick sees "minimal" hit from pension protest[/h]
Aug 3 (Reuters) - Tanzania-focused African Barrick Gold said protests at its Bulyanhulu mine over government changes to the country's pension legislation would prove only a "minimal" hit to output, with the mine set to return to full production later on Friday."It was a minority of the workforce," a spokesman for the company said, after local media reports said the company had been forced to halt work at the Tanzanian mine for two days. The spokesman confirmed operations were suspended late on Wednesday.
Workers had been protesting over a new section of Tanzania's pension law that no longer allows the withdrawal of contributions before a worker reaches retirement age, The Citizen newspaper reported this week.
"Operations have already resumed and we expect to be operating at full capacity by this evening. As such the production impact is expected to be minimal," he said.
Bulyanhulu, in northwest Tanzania, some 55 km south of Lake Victoria, accounted for almost 40 percent of the group's total gold output in 2011. The mine employed 2,853 people including contractors at the end of last year.
African Barrick is a unit of Canadian mining major Barrick Gold

\
 
Ni ishu ya NSSF. Lkini nawashangaa hao wafanyakazi wa huo mgodi kwa sababu kosa ni la Serikali lakini wafanyakzi wameigomea menagement ya mgodi! sasa sijui wapi na wapi?
mimi nawashangaa barick kwa nini wasishinikize serikali itatue mgogoro ili uzalishaji uendelee?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
mimi nawashangaa barick kwa nini wasishinikize serikali itatue mgogoro ili uzalishaji uendelee?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mkuu kinachotakiwa ni wafanyakazi kuishinikiza Serikali yao iondoe hiyo sheria mpya, mimi sikubaliani na mwekezaji ndiye aishinikize Serikali!! Hapana!!
 
Mkuu kinachotakiwa ni wafanyakazi kuishinikiza Serikali yao iondoe hiyo sheria mpya, mimi sikubaliani na mwekezaji ndiye aishinikize Serikali!! Hapana!!

naomba usuggest njia bora ya hawa wafanyakazi wa barrick wanayoweza kuitumia kuleta shinikizo kwa serikali.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
naomba usuggest njia bora ya hawa wafanyakazi wa barrick wanayoweza kuitumia kuleta shinikizo kwa serikali.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Nashauri, wangeungana na wafanyakazi wengine(sio wa barick tuu) kuandaa mabango yenye ujumbe mzito na kuandamana mpaka kieleweke.
Njia nyingine ni kususia shughuli za serikali kama Sensa ili ku'express kilio chao.
Nasema tena kuwagomea wawekezaji wakati yenye matatizo ni Serikali yao, sio njia nzuri(kwa maoni yangu)
 
jamani hawa Wafanyakazi ni Raia wa nchi hii ni kwanini wanyanyaswe katika ardhi hii km hamjasahau hawa wageni walishawahi kuwafukia Ndugu zetu wachimbaji wadogowadogo wakiwa hai.
Namwomba naibu Waziri wa Nishati na Madini Masele aende akawatimue hao wanajeshi mamluki toka Canada km kweli wameingia hapo,
Mm sioni kwa nini tunachimba dhahabu wakati hatupati kitu hapo ila kupoteza Uhai tu wa wenzetu.
mwenye Data za ukweli azimwage na km kweli Wabunge wajadili huu ugeni, tena waombe MWONGOZO ili hata kuufunga Mgodi huu ufungwe
 
Back
Top Bottom