TGS D
Senior Member
- Aug 3, 2010
- 114
- 13
mabomu ya machozi,maji ya kuwasha,askari watawala katika mitaa ya mji wa vwawa jimbo la mbozi magharibi.watu hawaonekani mitaani na maduka yamefungwa,askari wanalipua mabomu mtaa kwa mtaa kwa wanachodai kuwatawanyisha wafuasi wa chadema wanaodai kutangazwa matokeo baada ya kuyasubiri muda mrefu bila kupata jibu lolote.