Tangu nchi ipate Uhuru hawajawahi kumwona Mkuu wa Wilaya,Umeme,hosptali Wala barabara.Vijiji hivyo ni tegemeo la mazao ya maharage,viazi,ndizi nk.Serikali kupitia Rea na SUMA Jkt wanapelekewa umeme nguzo na transformers zinabebwa kichwani na vifuani.Jamani weka barabara