Hali tete kweli, Tanzania ya leo si vijana, si watoto, si wazee wote wanapigana vikumbo kwenye kubeti.
Ukute sasa wanaombana peni halafu deadline imekaribia, wanavyotukanana kama wote rika moja kumbe mtu mwanae/mjukuu.
Na ikifika mida ya jioni mda wa kutangaza washindi sijui BIKO mara tatu mzuka na nyingine kibao hapo ndipo hadi unatamani kucheka au huruma ina jaa unakuta mzee wa watu anasikikiza kwa makini akidhani atatajwa kwa washindi..
Siku hizi playstore wanazijua sana mpaka odds
Wanatupa tabu sana kuwaelewesha..
Hao hao ndio wa kwanza kusema oyee
Hali ni tete
Nyumba zinauzwa mtu dukani anabidhaa lakini wateja hapati mzunguko wa pesa ni mdogo..
Aiseee mlioko karibu na mkuu mwambieni ukweli hata hivyo ni msomaji mzuri sana wa jamiiforum
Na haya ndio matokeo ya utawala wa jiwe, anatuambia uchumi unapanda tutembee vifua mbele, kweli???
mapipando
Ukute sasa wanaombana peni halafu deadline imekaribia, wanavyotukanana kama wote rika moja kumbe mtu mwanae/mjukuu.
Na ikifika mida ya jioni mda wa kutangaza washindi sijui BIKO mara tatu mzuka na nyingine kibao hapo ndipo hadi unatamani kucheka au huruma ina jaa unakuta mzee wa watu anasikikiza kwa makini akidhani atatajwa kwa washindi..
Siku hizi playstore wanazijua sana mpaka odds
Wanatupa tabu sana kuwaelewesha..
Hao hao ndio wa kwanza kusema oyee
Hali ni tete
Nyumba zinauzwa mtu dukani anabidhaa lakini wateja hapati mzunguko wa pesa ni mdogo..
Aiseee mlioko karibu na mkuu mwambieni ukweli hata hivyo ni msomaji mzuri sana wa jamiiforum
Na haya ndio matokeo ya utawala wa jiwe, anatuambia uchumi unapanda tutembee vifua mbele, kweli???
mapipando