Hali tete kwa wakulima, mbolea kg 50 yafikia 120,000

Nawatania

Senior Member
Jul 13, 2021
148
549
Wakulima watalima vipi kipindi hiki mbolea ambayo tulinunua kwa elfu 60 Sasa imefikia elf 95 laki mpaka laki na ishirini.

Sasa najiuliza itakuwaje kama Sasa hivi gunia la mahindi kwa eneo nililopo ni elf 24 wakati Bei ya mbolea ni laki na ishirini.

Kwamba unatakiwa kuuza gunia 5 Za mahindi ili kununua mbolea mfuko mmoja .

What a failed state!
 
Tatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
 
Chama cha mafisadi yani ccm watakuambia mama yao kapandisha bei ya mazao...yani wwao wapo kusifia
 
Wakulima watalima vipi kipindi hiki mbolea ambayo tulinunua kwa elfu 60 Sasa imefikia elf 95 laki mpaka laki na ishirini.


Sasa najiuliza itakuwaje kama Sasa hivi gunia la mahindi kwa eneo nililopo ni elf 24 wakati Bei ya mbolea ni laki na ishirini.

Kwamba unatakiwa kuuza gunia 5 Za mahindi ili kununua mbolea mfuko mmoja .

What a failed state!!!
kila mtu alitegemea hivyo maana ukishagusa tozo kwenye mafuta kuna impact kubwa sana kwa bidhaa nyingine kwani mafuta yanagusa karibu kila sekta ya uzalishaji.
 
Tatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
Hii ni pumba kama pumba zingine
 
Tatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
Inategemea na eneo kuna sehemu zingine kilimo ni mpunga tu
Hata hivyo siyo kwamba wakulima wanalima sana mahindi
 
Tatizo la bei ndogo ya mahindi ni tatizo la miss divesification/ crop miss rotation au mono cropping kwa lugha rahisi. Hii inatokea pale wakulima wengi wanapoamua kulima zao la aina moja. Iwapo wakulima wengi wangejikita kwenye kilimo cha fursa, huenda wangelima mazao kama alizeti na ufuta ambayo yana bei nzuri sokoni na kulima mahindi kidogo kwa ajili ya chakula.
Hivi mkuu unayaandika haya ukiwa TZ kweli?hiyo alizeti na ufuta ni mikoa mingapi ambayo inastawi vizuri?kwani sio kama mahindi ambayo karibu nchi nzima unaweza kulima?unajua kilimo cha kitanzania, wakulima wengi ni wale ambao kulima mazao yanayohitaji uwekezaji mkubwa hawawezi, na ni kutokana na umasikini, wa kulaumiwa ni serikali tu haina lengo la kumsaidia mkulima, na hiyo NFRA, nayo ni mzigo tu toka 2015, imekuwa ikinunua karibia robo tu ya mazao kulinganisha na miaka ya nyuma kutokana na kukosa pesa, na hata wanaponunua (kukopa) bei yao ni kandamizi kweli!!!
 
Na hapo hapo nchi inaendeshwa kwa tozo, kodi haijulikani zilipochikichia.....nchi ngumu hii!
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom