Hali tete kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015

shati jeupe ukiliweka kwenye rangi ya blue lazima litabadilika rangi tu na kuwa blue,kinana hata kama ni msafi kiasi gai lazima atachafuka,atajachafua,na atachafuliwa saana.

  • :shut-mouth:
 
Wanabodi.

Kuingia kwa Abdulrahaman Kinana na Philip Mangula katika timu ya uongozi wa CCM, kunasafisha kabisa matumaini ya Chadema kuingia Ikulu ifikapo mwaka 2015. Ni jambo lililo wazi Kinana, heshima aliyojijengea mkoani Arusha na mikoa mingine ya kaskazini, kila Mtanzania mkweli anajua.

Heshima aliyojijengea Mangula Iringa na mikoa mingine ya Nyanda za Juu Kusini, kila Mtanzania mkweli anajua. Kutokana na sababu hizo kiongozi au mwanasiasa yeyote makini ndani ya Chadema, atakubaliana na ukweli kwamba chama hicho sasa hakitakuwa na chake tena kanda ya kaskazini na nyanda za juu kusini mwaka 2015.

Chadema kama ina viongozi wanaona mbali wanaweza wakaanza kuitumia ruzuku wanaoipata sasa kwa umakini wa hali ya juu, ikiwa ni pamoja na ruzuku hiyo kutumika kujenga vitega uchumi vya baadae vya chama hicho baada ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, cha hicho hakitapata tena ruzuku. Hakuna kipindi kigumu ambacho Chadema itapitia kama kipindi hicho kwenye historia ya chama hicho.

Pamoja na kwamba hakuna kiongozi yeyote ndani ya Chadema anayeweza kwenda kinyume na amri ya Mbowe kuhusu matumizi ya ruzuku ya chama hicho, lakini mwelekeo wa sasa utakuwa tofauti, Chadema sasa wana hiyari ama kuacha hazina ya ruzuku yao kidogo kutoka serikalini inayopatikana sasa iendelee kuboresha maisha ya viongozi na familia zao, au waseme hapana, sasa tuanze kujenga ofisi za chama chetu kila mkoa na wilaya ili pindi ruzuku hiyo itakapopungua baada ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 walau chama kibakiwe na ofisi.

Mbowe na Dr Slaa sidhani kama watakubali wazo hilo lenye maana moja ya kupunguza maisha yao kifahari waliyonayo sasa hawatakubali kuona wanaachana na mipango yao ya kujiwekea hazina ya baadaye ya maisha ndani ya chama ambayo haitakuwa na ruzuku.

Mkuu siku CHADEMA wakikujua watakuchoma moto!
 
Unaposema wananchi unamaanisha nini hapa,kwa uhakika gani ulio nao ambao unao mkononi,kwa Bicons zipi?!,Tangible ipo kweli???!!


Endelea kukutea vitu ambavyo unaona vipo wrong, siwezi kubishana na wewe coz unajuwa sana unatetea ujinga
 
ritz:tukiachana na propaganda za kisiasa pamoja na yale mambo ya kupeana moyo ama ushabiki kwenye masuala ya kisiasa,katika hili ccm wanaweza kidogo wakawa wamejipatia credit na jk anaweza akawa amechanga karata zake vizuri kwa sababu kama ni vuijembe kapigwa sana hadi na wanaccm wenyewe mara ameamua kuwaachia wapinzani nchi?!,mara ccm imemshinda lakini kumbe usiomuona kobe ameinama,anatunga sheria.

Ni ukweli usiopingika kwamba watendaji hawa wapya wa ccm wametoa mstuko kwa vyama vya upinzani na hasa cdm ambayo ilikuwa imeshakaa kwenye line kwa ajili ya kuhakikisha kwamba inachomoka mita 100 na kuindoa ccm madarakani,hakuna ubishi kwamba kwa hili lililofanyika ni lazima wakae chini wajipange upya na kuangalia waingilie mguu gani katika kama kweli wanan nia ya dhati katika kuhakikisha kwamba wanaichukua nchi.

Hata hivyo kwa ccm sio tu kwa sababu kinana na mangula wapo basi wajisahahu waache kufanya kazi ka sababu majina ya watu hao ni makubwa,hakuna kitu kama hicho,ni lazima,ni lazima watumie nafasi hiyo na majembe hayo katiika kuhakikisha kwamba wanakisafisha chama kama ambavyo alisema mangula siku ile dar!!!!!!!!!.

Ni ukweli usiopingika kwamba ndani ya ccm bado kuna mzizi ya uharibifu inayotakiwa kung'olewa ili imani ya wananchi na wanachama wake iliyokuwa imetoweka irejee.

Otherwise ni azi kwamba hali si shwari saana kama ilivyokuwa hapo awali kwa cdm kwa vyovyiote ni lazima wastac,wakae warudi nyuma wajipange.

hahahahahahahahahaha,kweli hawa watu nadhani hawatumii kabisa vichwa kufikiri wanatumia kwa ajili ya kufugia nywele which is also gud,ninawashangaa watu wanaosema ati hii safu mpya ya ccm ni tishio kwa cdm,la asha,nachotaka kuwaambieni jamani tunaopiga kura 2015 ni vijana tuliomaliza vyuo na wengine waiofikisha miaka 18 miaka ya karibuni,kutuambia ati kinana alifanya cha maana kanda ya kaskazini ni history now,au sijui mangula alifanya nini huko kusini hahahahahah,mtachinga sana,ukweli ni kwamba hata siku moja huwezi kwenda kuwachukua retired generals kuwaweka kwenye vita,inamaana umeshaishiwa so unadhani wastaafu ndo watakaokusaidia?secondly hiyo safu yenyewe haijazingatia gender equality alafu mnasema mnawawezesha wanawake,jamani msiwaadae watz,na pia mkumbuke kwamba haitawezekana katika dunia hii chama kimoja kitawale milele,so mkubali tu matokea kwamba mmeshapoteza mvuto kwa watanzania na dalili ndo hizo mawaziri kuzomewa ktk majukwaa,haijawahi tokea ktk historia ya tz waheshimiwa mawaziri sana kuzomewa simnajua watz ni waoga?sasa je hili limekaaaje?
Naomba kuwakilisha
 
Baada ya kuwa chama tawala kwa miaka 50 na WaTZ kujikuta katika lindi la umaskini kiasi hicho, ccm kimefutika katika mioyo ya wananchi walio wengi. Tatizo si watu fulani bali mfumo mzima. Hivyo hoja si Mangula wala Kinana tena. Walio wengi wanataka mabadiliko yatayoondoa mfumo ambao umekuwa madarakani kwa miaka 50, ili kuleta mfumo mwingine wa mabadiliko. Watu wanapozomea katika mikutano ya viongozi hawawazomei wao binafsi bali mfumo kandamizi na wa kifisadi. Kama Nyerere angelikuwa amefufuka hapo angalao watu wangekuwa na matumaini, lakini Kinana...... Mangula...... du!!!!
 
Watu wa Shinyanga nao wanalia hivi:

Zahanati ya kata ya Usule wilaya ya Shinyanga vijijini haina maji. Wagonjwa wanaolazwa hapo, wakiwemo akina mama wajawazito wanaokaribia kujifungua hulazimika kwenda na maji yao.

Vilevile baada ya kujifungua hakuna maji ya kufanya usafi, jambo ambalo hulazimisha akina mama hao kutunza nguo zao chafu mpaka wanapotoka ndipo zikafuliwe nyumbani, jambo ambalo ni hatari sana kiafya kwa wagonjwa wanaolazwa hapo.

Wakati huo huo wanalazimika kulipia fedha ili zahanati inunue maji ya kufulia mashuka ya zahanati waliyotumia.

attachment.php

Zahanati ya Usule kwa nje

attachment.php

Zahanati ya Usule kwa ndani
attachment.php

Mganga wa Usule akielezea matatizo.
attachment.php

Afisa Mtendaji wa Kata ya Usule
5.+Nape+akikumbatiana+na+Mgeja+walipokutana+Kahama.jpg

Mh. Khamis Mgeja, Mbunge wa Shinyanga Vijijini akiwa na Bw. Nape Nnauye.





Kero hizi zitatatuliwa lini? Hawa watu wanahitaji nao maisha bora, miaka 51 baada ya uhuru watayapata lini hayo maisha bora?

Mbunge yuko wapi muda huu? Anangoja uchaguzi ukaribie ndio aje na maneno mazuri?
 
Last edited by a moderator:
If u dont know the place you are going then no way can take you there! Ritz n ua nincompoops..... If Cdm r nat aware with what r they doin then what is bothering you old man? Its a wearer who know where the shoe pinches and u aint not! U better shut ua buccal cavity so as to hide the damn stinking!!

poor u! Let people tell us the hidden truth.we want to know these liars in a real picture
 
Mtoa uzi hapo juu amesema kweli kuwa Kinana amejijengea jina kwa kuwa makini sana kwa kusafirisha meno ya tembo na pembe kisirisiri, pia Mangula amejingea jina kubwa sana Iringa kwani amewahi kushindwa Uenyekiti wa CCM na Deo Sanga mtu wa Darasa la Saba (Jah people)

Kwa sifa hizo na mtazamo huo wa CCM wanafaa sana kupambana na CHADEMA.

KUMBUKA
ADUI WA CCM SI CHADEMA adui wa CCM ni ufisadi, uongo, propaganda za kihuni, ambazo sisi wananchi tumeshazigutukia

hawa unaowachafua ndio wanaenda kumshughulikia disko joker na mzee wa totoz
 
Back
Top Bottom