piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Umerudi na ndoto za alinacha, Mangula kama angekuwa na heshima sana Iringa asingeshindwa kwenye uteuzi wa mwenyekiti wa nyinyiemu mkoa na Deo Sanga, akaishiwa kuteuliwa agombee pamoja na kivuli kwenye nafasi ya umakamu m/kiti which ended in a fallacy kwamba kapata 100% kitu kisichowezekana popote pale isipokuwa kwa wezi walokubuhu nyinyiemu