Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mleta mada ni kiazi
😃😃😃😃😃
Hahahaha... ..kumbe tuko wengi sana.nilidhan nimeandika mimi hii yaan i can pay to walk
😃😃😃😃 mkuu fanya utafute zile sendoz za kimasai imara kabisa, zitakufaa sana. Mimi niko dom now basi miguu inachafuka na vumbi hatari. Nakata mitaa hadi watu wanahisi namwaga uchawi😃😃😃😃KahKab mkuu. Leo nimenunua nyingine. Maana natembea kilomita 8 kwa siku.
Mbona umeguna mkuuDaah
Halafu kuna watu wanashangaa kusikia hivo, mtu anakua mtu mzima na hajawahi hata kukutana na kashi kashi na seke seke kama hilo
Naona umeamua kunizungumzia kabisa kwa uzi wenye kila aina ya madaha,mbwembwe,vifijo na nderemo pamoja na kilio changu kikuu Cha kuweka PICHAMbona umeguna mkuu
Sana mkuu kaveli inshallahKwa hili vumbi la Afrika, usafiri binafsi ni muhimu sana.
Kwa maisha ya sasa mie naona gari ni kitu muhimu sana kukimbizana na mishe za utafutaji. Utawahi dili zako kwa wakati, na utapanga trips muda unaotaka wewe. Afu kibongo bongo ukiwa na 'mkebe' unapewa kaheshima fulani hivi mtaani.
Mie nataka nianze na baiskeli mwaka huu... for short trips za hapa na pale, pia kwaajili ya mazoezi. Kuhusu gari... tuseme InshaAllah.
-Kaveli-
Unaweza ukatengeneza sumu kaliNo 5,
Mkuu jaribu kuzunguka kwenye maduka husika, humu watu watakujibu kwa kejeliKwani zile baiskeli zenye kikapu mbele zinauzwa sh. ngapi?
Nahitaji moja
Dah hii dunia Sijui wengine Mungu alituumba kwasababu gani?Ila basi tuGari imetembea kilometa za kutosha hapo, haiuziki hata bureView attachment 910519